Wafanyabiashara 42 wa Comoro kushiriki maonyesho ya Sabasaba 2024

Dar es Salaam. Wafanyabiashara 42 kutoka nchini  Comoro , wanatarajiwa kushiriki maonyesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam, maarufu Sabasaba.Maonyesho hayo hufanyika kila mwaka katika viwanja vya Mwalimu Nyerere  jijini Dar es Salaam , ambapo taasisi, mashirika na kampuni mbalimbali huwa zikionyesha na kutangaza  bidhaa na huduma inazozitoa. Katika taarifa yake…

Read More

KUELEKEA SIKU YA KIMATAIFA YA MTOTO WA AFRIKA SERIKALI, WADAU WAFUNGUKA KUHUSU MAADILI, ULINZI WA MTOTO

* Ubalozi wa Ufaransa, Serikali na Wadau kuwakutanisha watoto, kusikiliza maoni yao Juni 16 Na Leandra Gabriel, Dar es Salaam KATIKA Kuadhimisha siku ya kimataifa ya mtoto wa Afrika inayoadhimishwa Juni 16 kila mwaka, Wazazi na jamii kwa ujumla wametakiwa kushirikiana katika ulinzi wa mtoto kwa kuhakikisha wanatenga muda wa kuzungumza na watoto na kufahamu…

Read More

Ni bajeti ya kimkakati Zanzibar

Unguja. Wakati Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) ikitaja vipaumbele vitano katika bajeti ya mwaka 2024/25, uchumi kwa mwaka 2024 unakadiriwa kukua kwa wastani wa asilimia 7.2 kutoka ukuaji wa asilimia 7.1 mwaka 2023. Akisoma hotuba ya bajeti ya Serikali Juni 13, 2024, Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Saada Mkuya amesema mapato ya Serikali…

Read More

MABORESHO MAKUBWA KWENYE SEKTA YA UTALII HAYA HAPA

Na John Mapepele Serikali imependekeza kufanya marekebisho makubwa kwenye Kanuni ya Ada na Tozo za Utalii ya mwaka 2015 ili kuleta mapinduzi makubwa kwenye sekta ya utalii. Akisoma hotuba yake wakati akiwasilisha bungeni mapendekezo ya Serikali kuhusu makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka 2024/2025 , Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt, Mwigulu Nchemba ameyataja marekebisho…

Read More

WAJUMBE WA BODI YA WAKURUGENZI TPDC WATEMBELEA MIRADI YA MAENDELEO INAYOFADHILIWA NA TPDC – MTWARA

  Muonekano wa jengo la Kituo cha Polisi cha Msimbati  linaloendelea kujengwa kwa ufadhili wa TPDC   Muonekano wa moja ya jengo la Kituo cha Afya Msimbati ambalo linaendelea kujengwa.   Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) limeendelea kuunga mkono juhudi za serikali katika kuboresha huduma za kijamii kwenye maeneo ambayo shughuli za utafutaji,…

Read More

VAR kutumika ligi kuu bara msimu ujao

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Ili kupunguza makosa ya waamuzi katika Ligi Kuu ya Tanzania Bara Serikali imependekeza kutumika kwa Teknolojia ya Kuwasaidia Waamuzi (VAR) kuanzia msimu ujao huku ikitoa msamaha wa kodi kwenye uingizaji wa mashine hizo. Mapendekezo hayo yametangazwa leo Juni 13,2024 Bungeni jijini Dodoma na Waziri wa Fedha, Dk. Mwigulu Nchemba, wakati…

Read More

Zanzibar yataja miradi mitano ya kimkakati 2024/25

Unguja. Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imetoa mwelekeo wa mpango wa maendeleo 2024/25 ikijielekeza katika miradi mikubwa mitano ya kimkakati. Akisoma mwelekeo wa mpango huo leo Alhamisi Juni 13, 2024 Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Saada Mkuya amesema miradi ya kimkakati imepangwa kwa kuzingatia umuhimu na faida zitakazopatikana. Mipango hiyo ni kutumia fursa za uchumi…

Read More