Ummy Mwalimu ataja siri ushindi wa Dk Ndugulile WHO

Dar es Salaam. Mbunge wa Tanga Mjini, Ummy Mwalimu amezungumzia ushindi wa aliyekuwa mkurugenzi mteule wa Shirika la Afya Duniani (WHO), Kanda ya Afrika na mbunge wa Kigamboni, marehemu Dk Faustine Ndugulile kuwa ulikuwa mgumu hasa katika mchakato wa kuomba kura. Ummy aliyewahi kuwa Waziri wa Afya amesema hayo leo Jumapili, Desemba mosi, 2024 alipofika…

Read More

Prisons, Pamba Jiji zafanya kweli Ligi Kuu Bara

Timu za Prisons na Pamba Jiji zimeanza vizuri ngwe ya lala salama ya Ligi Kuu Bara baada ya kupata ushindi mchana kwenye viwanja viwili tofauti. Prisons ilikuwa nyumbani jijini hapa na kushinda mabao 2-1 dhidi ya Mashujaa, wakati Pamba ikiwa ugenini iliinyoa Dodoma Jiji kwa bao 1-0 na kuongeza kibubu cha pointi walizonazo katika Ligi…

Read More

RAIS DK. MWINYI UTIAJI SAINI MABORESHO BANDARI ZANZIBAR

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisaini hati ya makubaliano ya Mpango wa Maboresho ya Utoaji wa Huduma Bandari ya Zanzibar (Zanzibar Port Improvement) hafla hiyo iliyofanyika katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar leo 22-11-2024.(Picha na Ikulu) IKULU – ZANZIBAR, RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,…

Read More

Wakazi Dar waeleza walivyohenyeka kusaka maji

Dar es Salaam. Wakazi wa eneo la Dar es Salaam ya Kusini ikiwemo Bangulo, Kifuru wamesimulia namna walivyosumbuka kupata maji safi kwa muda mrefu, huku ikiwalazimu kujihimu kutafuta huduma hiyo maeneo ya jirani. Wameyaanika hayo walipozungumza na Mwananchi kwenye ziara ya Waziri wa Maji, Jumaa Aweso, iliyofanyika leo Jumanne Machi 18, 2025 kwenye mradi wa…

Read More

Aaron arejea nchini baada ya kumaliza majaribio Juventus

Kijana Aaron Patrick Aadkin (16) ni kijana mwenye ndoto za kutoboa kisoka, ndoto hiyo haikuishia tu kitandani bali jitihada zake zimeanza kuonekana na Wazazi wake kama baba yake Patrick Aadkin ameanza kumsapoti na kumtilia mkazo. Aaron amerejea Tanzania hiyo ni baada ya kumaliza majaribio yake katika Klabu ya Juventus ya Italia ambapo alikwenda kwa wiki…

Read More