Gesi asilia, petroli kodi juu

Waziri wa Fedha, Dk. Mwigulu Nchemba amependekeza kufanya marekebisho kwenye Sheria ya Ushuru wa Barabara na Mafuta, Sura 220 ili kutoza Sh 382 kwa kila kilo ya gesi asilia inayotumika kwenye magari. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Amesema lengo la hatua hiyo ni kuongeza mapato yatakayotumika katika kufanya matengenezo ya barabara pamoja na kuleta usawa…

Read More

Bei ya gesi asilia ya kwenye magari yapaa

Dar es Salaam. Serikali ya Tanzania imependekeza ongezeko la Sh382 kwa kila kilo moja ya gesi asilia inayotumika katika magari kwa ajili kuongeza mapato yatakayotumika kufanya matengenezo ya barabara. Kutokana na ongezeko kilo moja ya gesi asilia itauzwa Sh1932 kutoka Sh1550 ya awali. Hayo yamesemwa leo Alhamisi, Juni 13, 2024 bungeni jijini Dodoma na Waziri…

Read More

MZEE WA MIAKA 62 AFUNGWA JELA MAISHA KWA KULAWITI

Mahakama ya hakimu Mkazi Wilaya ya Lindi imemuhukumu Mohamed Said Selemani mwenye umri wa miaka 62 mkazi wa kijiji cha Ng’apa wilaya ya Lindi, kwenda jela kutumikia kifungo cha maisha na kumlipa muhanga fidia ya shilingi 1,000,000 kwa kosa la kumlawiti mtoto wa miaka 4 jinsia ya kiume. Mtuhumiwa alitenda kosa hilo Aprili 22,2024 huko…

Read More

SBL yakabidhi mradi wa maji kwa wakazi 12,000 kijiji cha Kabila, Magu

  KAMPUNI ya Bia Serengeti na shirika lisilo la kiserikali, African Community Advancement Initiative (AFRIcai) wamezindua  mradi wa maji wenye thamani ya shilingi milioni 215  katika Kijiji cha Kabila wilayani Magu mkoani Mwanza ikiwa ni jitihada za kuwapelekea maji safi na salama wananchi wa eneo hilo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Mwanza … (endelea). Ukiwa na uwezo kwa  kuhudumia wakazi…

Read More

Vipaumbele 2024/25 vya Tanzania hivi hapa

Dar es Salaam. Waziri wa Fedha wa Tanzania, Dk Mwigulu Nchemba amesema miongoni mwa maeneo yatakayopewa kipaumbele katika bajeti ya Serikali ya mwaka 2024/25 ni pamoja na kukamilisha miradi ya kielelezo na kimkakati. Maeneo mengine ni pamoja na kuimarisha rasilimali watu hasa sekta za huduma za jamii, kuongeza matumizi ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano…

Read More

SBL yakabidhi mradi wa maji kwa wakazi 12,000 Kijiji cha Kabila, Wilaya ya Magu – MWANAHARAKATI MZALENDO

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Said Mtanda (Katikati), Mkuu wa Wilaya ya Magu Joshua Nassari (Kulia) na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Serengeti Breweries Obinna Anyalebechi (Kushoto) wakiwa mbele ya moja kati ya vituo 13 vya usambazaji wa maji kijijini hapo. Magu, Juni 13, 2024. Kampuni ya Bia Serengeti na shirika lisilo la kiserikali, African Community…

Read More

Matukio haya yanaishi Euro | Mwanaspoti

MUNICH, UJERUMANI: MICHUANO ya Euro mwaka huu inaanza kesho, ambapo itapigwa Ujerumani, huku jumla ya timu 24 zikitarajiwa kushiriki. Hii inakuwa ni mara ya 17 kwa michuano hii kufanyika huku Hispania na mwenyeji Ujerumani yakiwa ndio mataifa yaliyoshinda mara nyingi zaidi (3), tangu mwaka 1958. Mara zote ambazo michuano hii inapigwa huwa kuna baadhi ya…

Read More