Mido Biashara United akiri mambo magumu

KIUNGO mshambuliaji wa Biashara United, Pascas Wagana amesema wana kazi kubwa ya kukipambania kikosi hicho kubakia Ligi ya Championship, baada ya malengo ya awali ya kuirejesha Ligi Kuu Bara kuota mbawa. Akizungumza na Mwanaspoti, Wagana aliyewahi kuichezea pia Mbuni FC ya jijini Arusha, alisema kitendo cha kukatwa pointi 15, huku aliyekuwa rais na mfadhili wa…

Read More

RAIS MWINYI:NIMERIDHIKA NA KAZI YA ZPDB

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, ameeleza kuridhishwa kwa utoaji na usimamizi wa vipaumbele vyote kwa sekta za umma hasa kwa miradi ya kimkakati. Amesema, usimamizi huo unalenga kuhakikisha wananchi wanapata huduma zinazotolewa na kuhakikisha utoaji huduma bora katika maeneo yote ya vipaumbele zikiwemo Elimu, Miundombinu, Uwezeshaji sekta…

Read More

ACT Wazalendo: Wajumbe wa Tume ya Uchaguzi mjiuzulu wenyewe

Mwanza. Chama cha ACT Wazalendo kimesisitiza kwamba wajumbe wa Tume ya Uchaguzi waachie ngazi ili mpya ipatikane kutokana na mchakato wa sheria mpya unaotaka watu waombe, wafanyiwe usaili, majina yapelekwe kwa Rais kwa ajili ya kutangazwa kupata makamishina wapya. Akizungumza jana Mei 8, 2024 katika kata ya Nguruka wilayani Uvinza, mkoani Kigoma  aliyekuwa kiongozi wa…

Read More

TBS YATOA ELIMU UDHIBITI UBORA KWENYE MAONESHO YA KIMATAIFA YA WAWEKEZAJI WA ZABIBU

SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limeendelea kutoa elimu kuhusu masuala ya udhibiti ubora kwa wananchi waliotembelea banda la TBS kwenye Maonesho ya Kimataifa ya Wawekezaji wa Zabibu, yaliyofanyika katika Viwanja vya Mashujaa, mkoani Dodoma. Katika maonesho hayo, Afisa Udhibiti Ubora Mwandamizi (TBS) Bi. Sifa Chamgenzi ameeleza umuhimu wa viwango vya ubora katika bidhaa za zabibu,…

Read More

Je, Tanzania inaandika rekodi ya utekaji, mauaji?

Tumshukuru Mungu kwa Abdul Nondo, Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana ACT-Wazalendo kupatikana akiwa hai, japo amejeruhiwa. Tena vibaya, kama ilivyotaarifiwa. Inaumiza, lakini afadhali. Wengine hatujui walipo. Tutawaona tena au ndiyo kimya milele? Watekaji wanajua. Mungu anajua. Inawezekana wakiona tunaulizia walipo ndugu waliopotea kwa muda mrefu, watekaji wanacheka. Wanaona tunajisumbua bure. Wao wanaujua ukweli. Lazima tufahamu…

Read More

DKT. NCHEMBA ATETA NA SAUDI FUND SAUDI ARABIA

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (Mb), akiagana na Mkurugenzi Mtendaji wa Mfuko wa Maendeleo wa Saudi Arabia (Saudi Fund for Development-SFD), Bw. Sultan Al-Marshad, baada ya kufanya mazungumzo kuhusu ushirikiano wa kiuchumi na kijamii kati ya Mfuko huo na Tanzania, akiwa na Mawaziri wenzake wa kisekta, Waziri wa Viwanda na Biashara,…

Read More

Zanzibar yazidi kufunguka kwa uwekezaji

Unguja. Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Kazi, Uchumi na Uwekezaji, Shariff Ali Shariff amesema Zanzibar inazidi kufunguka na uwekezaji kuongezeka mwaka hadi mwaka. Amesema kwa kipindi cha miaka minne kuna miradi zaidi ya 390 ya uwekezaji ambayo imesajiliwa Zanzibar sawa na ongezeko la asilimia 200 ikilinganishwa na kipindi cha nyuma ambacho ilikuwa ikisajili miradi…

Read More

MAJALIWA: WATANZANIA TUENDELEE KUDUMISHA AMANI, UPENDO NA MSHIKAMANO

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ametoa wito kwa Watanzania kuendelea kudumisha amani, upendo, umoja, mshikamano, kuhurumiana sambamba na kujiepusha na vitendo vinavyoashiria vurugu, uonevu na uvunjifu wa amani. Pia amewasihi waimarishe malezi kuanzia ngazi ya familia ili kuepuka athari za mmomonyoko wa maadili nchini na kuhakikisha mienendo ya vijana na wanajamii wote inazingatia mila, desturi na…

Read More

TANZANIA KUSHIRIKIANA NA ITALIA KUENDELEZA SEKTA YA MADINI

▪️Mkutano wa Wafanyabiashara wa Tanzania na Italia kufanyika Mwezi Februari, 2025. ▪️Kampuni za Utengenezaji Vifaa kutoka vya Madini kutoka Italia kushiriki. ▪️Wachimbaji kunufaika na teknolojia na mitambo rafiki kwa mazingira Dar es Salaam Waziri wa Madini, Mh. Anthony Mavunde (Mb) amesena kuwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania itaendelea kuimarisha uhusiano wa kidiplomasia na…

Read More