TANESCO KUUNGANISHA MKOA WA KAGERA KWENYE GRIDI YA TAIFA

*Mkakati kwa mradi wa ujenzi wa njia ya kusafirisha Umeme Benaco -Kyaka wa Kilovoti 220 kuanza Desemba Na Chalila Kibuda,Michuzi TV Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limesema kuwa mkakati waliouweka katika Mkoa wa Kagera ni kuondokana na ununuzi wa Umeme nchini Uganda. Ununuzi wa Umeme kutoka nchini Uganda ni Megawati 21 kwa mwezi ambapo Shirika…

Read More

Asilimia 41 ya maji yaliyopimwa mwaka 2023 hayana viwango

Dar es Salaam. Asilimia 41.6 ya sampuli 5,764 za maji kwa ajili ya matumizi ya majumbani zilizofanyiwa vipimo mwaka 2023 zilikuwa hazikidhi viwango vya ubora na usalama wa maji vinavyokubalika kimataifa. Hayo yamebainishwa kupitia Kitabu cha Hali ya Uchumi wa Taifa kilichotolewa leo Juni 13, 2024 bungeni jijini Dodoma. Kitabu hicho kinaeleza kuwa, katika mwaka…

Read More

TUNAWASAIDIA WAWEKEZAJI WAZAWA KUWA MAHIRI-WAZIRI MKUU

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema Serikali itaendelea kuwajengea uwezo Watanzania wanaojishughulisha na masuala ya uwekezaji na kuweka mazingira wezeshi ili kuwasaidia wawe mahiri. Amesema kuwa sera za uwekezaji nchini zinatoa unafuu kwa watanzania kuingia kwenye uwekezaji na Serikali itaendelea kufanya maboresho ili wapate nafasi ya kuwekeza. Amesema hayo leo Alhamisi (Juni 13, 2024) wakati akijibu…

Read More

Edin Terzić anaondoka Borussia Dortmund.

Edin Terzić, kocha mkuu wa zamani wa Borussia Dortmund, alitangaza kuachana na klabu hiyo kwa ujumbe mzito kwa mashabiki. Terzić alielezea shukrani zake kwa nafasi ya kuiongoza timu hiyo kupata ushindi katika DFB-Pokal na kufanya vyema katika Ligi ya Mabingwa. Kuondoka kwake kunaashiria mwisho wa enzi ya Borussia Dortmund huku wakitarajia kuhama chini ya uongozi…

Read More

Vita ya Aziz KI, Fei Toto yahamia Ligi ya wanawake

ACHANA na ubingwa Ligi Kuu ya Wanawake (WPL) uliobebwa na Simba Queens, unaambiwa ligi hiyo haijaisha kwenye vita ya kimya kimya ya kuwania kiatu cha Mfungaji Bora wa msimu huu. Kama ilivyokuwa Ligi Kuu Bara kwa Mfungaji Bora kupatikana katikae mechi za mwisho, ndivyo ilivyo kwa WPL ambayo mechi mbili zilizosalia kabla ya kufungia msimu zitaamua…

Read More

Tamaa ya fedha inavyochangia ongezeko la talaka – 4

Dar es Salaam.  “Talaka zina madhara, maana watoto wanahangaika, mimi najitafuta hakuna hata mtoto mmoja anayejuliwa hali na baba yake. Je, kwa wasiokuwa na uwezo wa kuhangaika wanaishije? Nikiona hali ngumu nakwenda kutafuta maisha nje ya nchi. Tofauti na hapo, watoto wangekuwa wanateseka,” anasema Saadia. Anasema hata nyumba anayoishi sasa ameijenga kwa fedha za mikopo…

Read More