
TANESCO KUUNGANISHA MKOA WA KAGERA KWENYE GRIDI YA TAIFA
*Mkakati kwa mradi wa ujenzi wa njia ya kusafirisha Umeme Benaco -Kyaka wa Kilovoti 220 kuanza Desemba Na Chalila Kibuda,Michuzi TV Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limesema kuwa mkakati waliouweka katika Mkoa wa Kagera ni kuondokana na ununuzi wa Umeme nchini Uganda. Ununuzi wa Umeme kutoka nchini Uganda ni Megawati 21 kwa mwezi ambapo Shirika…