WAZIRI RIDHIWANI AIPONGEZA LESCO – MICHUZI BLOG

    Na: Mwandishi wetu – Dodoma. Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Ridhiwani Kikwete amepongeza LESCO kwa kuendelea kusimamia haki na uwajibikaji wa masuala ya kazi, uchumi na kijamii. “Nitumie fursa hii kuwapongeza kwa moyo wa dhati kwa kutekeleza vema majukumu yenu kwa ufanisi ili…

Read More

Kipa KenGold mikwara mingi Bara

KIPA wa Ken Gold, Castory Mhagama amesema wanaoibeza timu hiyo kwa kutokuwa na wachezaji wengi wenye uzoefu, wasubiri kwani ligi ndio imeanza na matokeo yatazungumza. Mhagama anayecheza kwa mara ya kwanza Ligi Kuu, amekuwa na rekodi ya kipekee baada ya kuipandisha timu hiyo ya mkoani Mbeya akiipa ubingwa wa Championship msimu uliopita. Kipa huyo ndiye…

Read More

Korti ya Jinai ya Kimataifa inalaani hoja za vikwazo vya Amerika – maswala ya ulimwengu

Korti ilianzishwa na amri ya Roma, ilijadiliwa ndani ya UN – lakini ni mahakama huru kabisa iliyowekwa kujaribu uhalifu mkubwa, pamoja na uhalifu dhidi ya ubinadamu. Soma Mfafanuzi wetu hapa. Agizo kuu la Alhamisi lilisema serikali ya Amerika “italazimisha athari zinazoonekana na muhimu” kwa maafisa wa ICC ambao hufanya kazi kwenye uchunguzi ambao unatishia usalama…

Read More

Rais Samia ateua viongozi wanne

Dodoma. Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameendelea kuimarisha taasisi za umma kwa kufanya uteuzi wa viongozi wanne wa mashirika ya Serikali. Tarifa iliyotolewa leo Jumanne, Aprili 29, 2025 na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu ikimnukuu Katibu Mkuu Kiongozi, Dk Moses Kusiluka imebainisha walioteuliwa ni wenyeviti wa bodi. Rais Samia amemteuwa Dk Fatma Kassim…

Read More

Azam FC yaja na mbadala wa Gibril Sillah

BAADA ya kiungo wa Azam FC, Gibril Sillah kuaga kwenye timu hiyo mabosi wake wa zamani tayari wameshaweka sawa nani atakuwa mbadala wake. Kiungo huyo ambaye aliitumikia Azam ndani ya misimu miwili, majuzi aliandika waraka wa kuagana na timu hiyo, huku taarifa zikidai kuwa anaweza kuibukia kwa mabingwa wa Ligi Kuu Bara, Yanga. Sillah alikuwa…

Read More