
IFP wakubali kuungana na ANC kuunda serikali
Chama cha upinzani nchini Afrika Kusini, Inkatha Freedom Party (IFP) kimetangaza kuwa kitashirikiana na chama tawala cha African National Congress (ANC) huku ANC kuunda serikali ya muungano itakayoweza kuongoza baada ya uchaguzi wa tarehe 29 Mei mwaka huu. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa … (endelea). Bunge jipya linatarajiwa kukutana kwa mara ya kwanza mjini Cape Town…