Wanaume washauriwa kutumia uzazi wa mpango ‘Vasectomy’

Dar es Salaam. Wanaume nchini wameshauri kutumia njia ya kisasa ya uzazi wa mpango ya kufunga mirija inayopitisha mbegu za kiume, kwenda kukutana na yai la mwanamke ili kutoa fursa ya kulea watoto waliowazaa kwa kuwapa mahitaji yanayotakiwa. Imeelezwa kutokufanya hivyo kwa kundi hilo na kuwaachia wanawake pekee, wakati mwingine ni chanzo cha kuendelea kuzaa…

Read More

Simba, Yanga kupitisjha fagio la chuma

DURU za kispoti zimeliambia Mwanaspoti kwamba kuna fagio la chuma litaanza kupita Simba na Yanga kwenye kipindi kisichozidi wiki moja kuanzia leo. Ni fagio ambalo huenda likawa na sapraizi ambazo huenda zikaacha mijadala kwenye vijiwe vya kahawa. Lakini za ndaani kabisa ni kwamba hilo lazima lifanyike ili mabadiliko yaonekane kwenye pichi msimu ujao wa kimashindano…

Read More

Wadau wamshukia Nape kauli ya “ushindi nje ya boksi”

Mashambulizi hayo yametokana na video yake iliyosambaa akizungumza kwenye tukio moja mjini Bukoba, akimhakikishia ushindi Mbunge wa jimbo hilo, Steven Byabato, kuwa matokeo ya kura siyo lazima yawe ya kwenye sanduku la kura, bali inategemea nani anahesabu kura na kutangaza matokeo. Ingawa Nape kupitia video nyingine iliyosambaa baadaye aliomba radhi kutokana na kauli hiyo, akidai…

Read More

Simba wamleta Micho mechi na Waarabu

SIMBA imeingia kambini tangu jana jijini Dar es Salaam tayari kwa ajili ya mchezo wa marudiano dhidi ya Al Ahli Tripoli ya Libya wa kufuzu hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika utakaopigwa Jumapili wiki hii kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa ikiwa inahitaji ushindi wa aina yoyote ili kutinga hatua hiyo. Milutin Sredojevic ‘Micho’…

Read More

Wanawake wananigombania sana, kila mmoja anataka kuwa na mimi!

Katika tamaduni za Kiafrika, mwanaume ndiye anamfuata (kumtongoza) mwanamke wakati anamuhitaji kuwa naye katika mahusiano ya kimapenzi. Kitendo cha mwanamke kumtongoza mwanaume ni jambo la nadra sana kulisikia katika jamii zetu ingawa kuna watu hilo huwatokea pale Binti anapompenda kijana fulani. Mimi ni miongoni mwa vijana wachache ambao wanawake wengi wazuri na warembo wamekuwa wakifanya…

Read More

Ramovic amchomoa straika mpya Yanga

KABLA ya kuondoka Yanga, kocha Miguel Gamondi alileta straika mpya na kujifua na kikosi cha timu hiyo kambini, Avic Town, akisubiri kusaini mkataba wakati huu wa dirisha dogo, lakini alichokutana nacho kwa kocha wa sasa, Sead Ramovic, huenda hana hamu nacho. Gamondi alimpokea straika huyo kutoka Uganda na kujifua na mastaa wa timu hiyo ili…

Read More

Simulizi ya wanawake jasiri waliojitosa kubeba zege

Dar es Salaam. Wanawake watatu jasiri wametoa simulizi ya maisha yao katika sekta ya ujenzi, kazi ambayo kwa kawaida hufanywa na wanaume. Kina mama hao wakazi wa wilayani Ludewa mkaoni Njombe, wamechagua njia ya maisha inayohitaji nguvu na ujasiri wa hali ya juu. Wamekuwa wakihama kutoka mkoa mmoja hadi mwingine nchini Tanzania, wakifanya kazi za…

Read More