Jukumu la kutunza mazingira wajibu wa kila mtu

Dar es Salaam. “Safari kuelekea mustakabali wenye urafiki na mazingira,” hii ni mada itakayojadiliwa kesho kwenye Jukwaa la Fikra lililoandaliwa na Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL). Mada hii imekuja kipindi ambacho dunia inakabiliwa na changamoto mbalimbali za mazingira, hasa mabadiliko ya tabianchi. Lengo ni kuleta suluhu ya pamoja na endelevu kwa mustakabali wa nchi….

Read More

Mangungu, Mo Dewji uso kwa macho Simba

WAKATI wapenzi na mashabiki wa Simba wakikomaa wakimtaka, Mwenyekiti wa klabu hiyo, Murtaza Mangungu kuachia ngazi kama ilivyotokea kwa wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi akiwamo aliyekuwa Mwenyekiti, Salim Abdallah ‘Try Again, mwenyewe amevunja ukimya akisema hajiuzulu ng’o. Mangungu amesema wanasubiri uteuzi wa wajumbe wa bodi ya wakurugenzi wa upande wa mwekezaji ndipo wachague mwenyekiti wa…

Read More

TETESI ZA USAJILI BONGO: Thabang Sesinyi kupishana na Okrah

COASTAL Union imeanza mazungumzo ya kumsajili winga wa Jwaneng Galaxy ya Botswana, Thabang Sesinyi ili kuongeza nguvu msimu ujao hasa kwa Kombe la Shirikisho Afrika. Sesinyi ni pendekezo ya Kocha Mkuu, David Ouma anayemhitaji mchezaji anayemudu wingi zote mbili ili aweze kuwasaidia CAF. BECHEM United ya Ghana imepanga kumrejesha nyumbani winga wa Yanga, Augustine Okrah…

Read More

Mpango kukabili ajira kwa watoto wazinduliwa

Mwanza. Serikali imezindua mpango mkakati wa kitaifa wa miaka mitano wa kutokomeza utumikishwaji wa mtoto wa 2024/2025 utakaotekelezwa mpaka 2028/2029. Mpango huo umezinduliwa leo Juni 12, 2024 na Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na Watu wenye ulemavu, Patrobas Katambi. Katambi amezindua mpango huo  kwenye  maadhimisho ya kitaifa ya kupinga utumikishwaji wa…

Read More

PROF SILAYO ATOA SIRI YAKUTOA GAWIO KUBWA SERIKALINI

Na Mwandishi Wetu KAMISHNA wa Uhifadhi wa Wakala wa Huduma ya Misitu Tanzania (TFS), Profesa Dos Santos Silayo ametoa siri iliyosababisha washike nafasi ya tatu kwa taasisi za serikali zilizotoa gawio kubwa kwa mwaka wa fedha 2023. Wakala huyo wa serikali jana alitangazwa na Ofisi ya Msajili wa Hazina kutokea kundi la taasisi zinazochangia asilimia…

Read More

Yanga kwanza, Simba yamgeukia Dube

SIMBA imemuwekea Prince Dube Sh.120Mil mezani ili amwage wino wakamalizane na Azam, akawachomolea waziwazi. Mwanaspoti limeambiwa kuwa Dube amewaambia tayari ana makubaliano na klabu moja ya Tanzania ambayo anaipa kipaumbele kikubwa na hata wasimamizi wake wamekomalia kwenye hilo. Yanga inatajwa kuwa nyuma ya sakata la Dube kwani mara kadhaa ameonekana akiwa na watu wa karibu…

Read More

Kagera kuachana na umeme wa Uganda, Sh30 bilioni kuokolewa

Dar es Salaam. Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) limesema kiasi cha Sh2.6 bilioni zitaokolewa kwa mwezi ambazo ni zaidi ya Sh30 bilioni kwa mwaka zinazotumiwa kununua umeme nchini Uganda unaotumika mkoani Kagera. Hatua ya kuokoa fedha hizo imekuja kufuatia Tanesco kusaini mkataba na Mhandisi mshauri kutoka nchini Misri (Shaker Consultancy Group) atakayesimamia ujenzi wa mradi…

Read More