Italia inataka mataifa ya G7 yawekeze zaidi Afrika. – DW – 14.06.2024

Viongozi wa kundi la nchi tajiri kiviwanda duniani,G7, wanaendelea na mkutano wao kwa siku ya pili leo, utakaojikita kwenye suala la Uhamiaji. Katika ajenda hiyo watajielekeza zaidi kutafuta njia za kukabiliana na biashara ya usafirishaji watu pamoja na kuongeza uwekezaji katika mataifa wanakotokea wahamiaji. Picha: Yara Nardi/REUTERS Jana katika ufunguzi wa mkutano huo waziri mkuu…

Read More

Mtanda akazia Sh34 bilioni kupelekwa Malya

Dodoma. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Said Mtanda, amezungumzia mvutano wa Sh34 bilioni zilizotengwa kwa ajili ya ujenzi na upanuzi wa Kituo cha Michezo cha Malya, akieleza kuwa mvurugano huo umetokana na wanasiasa kuchanganya mambo. Akizungumza leo Jumatano Julai 16, 2025 jijini Dodoma wakati wa kuelezea mafanikio ya Serikali ya Awamu ya Sita katika utekelezaji…

Read More

SMZ yajibu hoja za ACT-Wazalendo ujenzi Uwanja wa Ndege Pemba

Unguja.  Wakati Chama cha ACT-Wazalendo kikirusha shutuma kwa Serikali kuhusu ubadhirifu wa miradi ya barabara na ujenzi wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Pemba, Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi imejibu tuhuma hizo ikisema wanaotoa taarifa hizo wana lengo la kuichonganisha Serikali na wananchi. Kwa nyakati tofauti katika mikutano ya hadhara inayofanywa na chama…

Read More

Neema Olomi aanza vyema gofu Mombasa

VIWANJA vya mchezo wa gofu vya miji ya mwambao wa Kenya vimekuwa ni rafiki kwa Mtanzania, Neema Olomi kutoka klabu ya Arusha Gymkhana baada ya kufanya vizuri tena katika mashindano ya mwaka huu ya wanawake kwenye viwanja vitano vya mjini Mombasa nchini humo. Olomi alishika nafasi ya pili nyuma ya mwenyeji Mercy Nyanchama katika mchezo…

Read More

Yanga yamuuza rasmi Aziz KI, acheza mechi ya mwisho

Kama umemuona kiungo Stephanie Aziz KI uwanjani leo akiichezea Yanga basi umebahatika kumtazama kwa mara ya mwisho kiungo huyo akiwa na jezi ya timu hiyo. Yanga leo Jumapili imemuaga rasmi kiungo huyo uwanjani na wakati wowote kuanzia sasa atatimka kwenda kujiunga na klabu mpya huko Afrika Kaskazini. Taarifa ya uhakika ni kwamba, Yanga itamuuza Aziz…

Read More

VIDEO: Zijue noti zinazoondolewa kwenye mzunguko na BoT

Dar es Salaam. Wengi wamekuwa wakijiuliza ni noti zipi ambazo zimetangazwa na Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kuwa zitaondolewa kwenye mzunguko wa matumizi kati ya  Januari na Aprili mwakani. Hivi karibuni Bot ilitangaza kuziondoa noti za Sh20, Sh200, Sh500, Sh1,000, Sh2,000, Sh5,000 na Sh10,000 zilizotolewa kuanzia mwaka 1985 hadi 2003, pamoja na noti ya Sh500…

Read More

Matumizi bora ya ardhi kuondoa migongano ya binadamu, wanyamapori

Dar es Salaam. Suala la mipango ya matumizi bora ya ardhi, limetajwa kuwa suluhisho la changamoto zinazosababisha migongano kati ya wanyamapori na binadamu vijijini na kusababisha ugumu wa pande hizo mbili kuishi pamoja. Hayo yamebainishwa leo Mei 16, 2024 wakati wa majadiliano yaliyoandaliwa na Chama cha Waandishi wa Habari za mazingira Tanzania (JET) wanaotekeleza mradi…

Read More