Kocha Gaborone aipiga mkwara Simba

KOCHA wa Gaborone United, Khalid Niyonzima, amesema hawana presha yoyote kuelelea mchezo wa kesho dhidi ya Simba huku akiwahakikishia furaha mashabiki wa timu hiyo. Gaborone United inaingia kwenye mechi hiyo ya Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya awali itakayochezwa kesho Jumapili kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar, ikiwa na kumbukumbu ya kupoteza nyumbani kwa bao…

Read More

DK.SAMIA AANIKA MKAKATI WA KUUFANYA MKOA WA RUVUMA KUWA KITOVU CHA BIASHARA KWA UKANDA MIKOA YA KUSINI

Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Ruvuma MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM)Rais Dk.Samia Suluhu Hassan amesema katika miaka mitano ijayo Serikali inakwenda kuufungua mkoa wa Ruvuma kuwa kitovu lakini pia ukanda mzima wa kusini (Ruvuma, Mtwara na Lindi) kuwa ukanda wa biashara. Akizungumza mbele ya maelfu ya wananchi wa wa Mji wa Songea mkoani Ruvuma…

Read More

Hekaheka ya kusaka maji kilomita 24 Handeni

Tanga. Wakati maji yakigeuka lulu kwa wakazi wa Mkata Magharibi, wilayani Handeni, mkoani Tanga, kwa Sadick Idd, safari ya kuyafuata imegeuka chanzo cha maumivu na msongo wa mawazo. Idd anasimulia Januari 21, 2026 alipata ajali alipofuata maji kwenye Bwawa la Sua, akiwa na baiskeli iliyobeba madumu matano. “Sikuwa na namna tangu Julai 2025 hatuna maji. …

Read More

Ni Sudan, Madagascar nusu fainali CHAN Kwa Mkwapa

BAADA ya kushindwa kupata mshindi ndani ya dakika 120, Sudan na Algeria zimelazimika kwenda katika changamoto ya mikwaju ya penalti ili kuamua mshindi wa mechi na hatimaye Sudan kuibuka kwa penalti 3-2. Katika mchezo huo wa robo fainali ya CHAN uliopigwa kwenye Uwanja wa New Amaan, Zanzibar dakika 90 zimemalizika kwa timu hizo kutoshana nguvu…

Read More

Maji ni Uhai: TRAMEPRO Yaadhimisha Siku ya Maji Duniani 2026

Kila mwaka tarehe 22 Machi, dunia huungana kuadhimisha Siku ya Maji Duniani—siku muhimu inayotukumbusha thamani ya rasilimali maji katika maisha ya kila siku. Mwaka huu wa 2026, maadhimisho haya nchini Tanzania yanafanyika katika Mkoa wa Morogoro, yakileta pamoja wadau wa sekta ya maji, afya na mazingira. Katika kuadhimisha siku hii, Shirika la Dawa Asilia na…

Read More

Mwimbaji wa Injili Irene Robert Afariki Ghafla

Global Publishers March 20, 2026 0 Comments Mwimbaji wa nyimbo za Injili nchini, Irene Robert, amefariki dunia leo Machi 20, 2026 baada ya kuugua ghafla. Taarifa za kifo chake zimethibitishwa na mwimbaji mwingine wa Injili, Walter Chilambo, kupitia ukurasa wake wa Instagram, akionesha masikitiko kufuatia kuondokewa na rafiki yake wa karibu. Katika ujumbe wake, Walter…

Read More