WIZARA YA UJENZI, TANROADS, POLISI WAKAGUA MAENEO YENYE AJALI ZA MARA KWA MARA KATIKA MTANDAO WA BARABARA NCHINI

:::::::: Wizara ya Ujenzi kupitia Kitengo cha Usalama na Mazingira kinaendelea na utekelezaji wa ukaguzi wa maeneo hatarishi katika mtandao wa Barabara kuu nchini. Aidha kwa sasa ukaguzi huo unafanyika katika shoroba ya TANZAM inayoanzia katika Mkoa wa Dar es Salaam hadi Mkoani Songwe kupitia Morogoro (Mikumi) na baadaye katika shoroba zingine Ukaguzi huo unahusisha…

Read More

Tanzania yakaza msuli Kombe la Dunia T20

MIKUMI imeishinda tena Ngorongoro kwa mikimbio 11 katika mechi ya mwisho ya majaribio kwa nyota wa timu ya taifa wanaonolewa kwa ajili ya michuano ya kufuzu kombe la dunia inayoanza jijini wiki hii. Dar es Salaam imeandaa michuano hiyo inayoshirikisha timu kutoka mataifa sita ya kiafrika kwa ajili ya kutafuta kucheza fainali za kombe la…

Read More

[07/12, 08:36] Bukuku: CHITALE AHUBIRI UMOJA MKUTANO MKUU WA WADAU MADALE GROUP [07/12, 08:37] Bukuku: Kaka nisaidie hiyo mkutano wa umoja wetu home Madale

  Na John Bukuku – Dar es Salaam Kaimu DAS wa Wilaya ya Kinondoni, Bw. Salumu Chitale, aliyemwakilisha Mkuu wa Wilaya, ametumia Mkutano wa Umoja wa Wadau Madale Group uliofanyika Desemba 6, 2025 Jijini Dar es Salaam, kutoa wito wa mshikamano na ushirikiano miongoni mwa wanachama, akisisitiza kuwa ndiyo nguzo ya mafanikio ya kikundi. Amesema…

Read More

Mbunge alalama uwezo mdogo wa transifoma

Dodoma. Mbunge wa Viti Maalumu (Chadema), Jesca Kishoa ameitaka Serikali kufunga transifoma zenye ukubwa wa kilovoti 200 hadi 315 ili kukidhi mahitaji ya kuendesha viwanda jimboni Mkalama, mkoani Singida. Amesema hayo leo Alhamisi Aprili 25, 2024 bungeni Dodoma alipouliza swali la nyongeza kuhusu uwezo mdogo wa transifoma zilizoko jimboni humo zenye ukubwa wa kilovoti 50…

Read More

Kuongezeka kwa mahitaji ya cobalt mafuta yanayoendelea shida ya kibinadamu katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo – Maswala ya Ulimwenguni

Watu waliohamishwa ndani (IDP) wanaoishi katika Kambi ya Roe katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Mikopo: Picha ya UN/Es mondeer Debebe na Juliana White (Umoja wa Mataifa) Alhamisi, Juni 26, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Umoja wa Mataifa, Jun 26 (IPS) – Mahitaji ya cobalt na madini mengine yanaongeza shida ya kibinadamu ya miongo…

Read More

RC Malisa apongeza TBS kwa kuwainua wajasiriamali kupitia maonesho ya biashara

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Mheshimiwa Beno Malisa, ameipongeza Shirika la Viwango Tanzania (TBS) kwa juhudi zake za kuwafikia na kuwahudumia wajasiriamali kupitia maonesho mbalimbali ya kibiashara nchini. Akizungumza wakati wa Tamasha la Maonesho ya Kimataifa ya Kusini ya Biashara yanayoendelea mkoani Mbeya, Mh. Malisa alisema hatua ya TBS kutembelea na kutoa msaada wa kitaalamu…

Read More

Jumla ya waombaji 16,646 wamechaguliwa kujiunga kwenye vyuo 221 kwa programu ya Afya na Sayansi Shirikishi

Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Stadi (NACTVET) limesema jumla ya wombaji 16,646 wamechaguliwa kujiunga kwenye vyuo 221 vinavyotoa programu mbalimbali za Afya na Sayansi Shirikishi. Akizungumza mbele ya Waandishi wa Habari jijini Dar es Salaam, Twaha Twaha MENEJA was Kitengo cha Utunuku na Mkurugenzi wa Kurugenzi ya Udahili, Utahini…

Read More