TPDC yaimarisha huduma za kijamii katika maeneo ya Gesi Asilia

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) linaendelea kuunga mkono juhudi za Serikali katika kuboresha huduma za kijamii kwenye maeneo ambako shughuli za utafutaji, uzalishaji, usafirishaji na usambazaji wa gesi asilia zinafanyika. Huduma mbalimbali za kijamii kama afya, elimu, maji na utawala bora zinaimarishwa kama sehemu ya Uwajibikaji wa Shirika…

Read More

Mkutano wa kilele wa G7 unafungua pazia Italia – DW – 13.06.2024

Waziri Mkuu wa Italia Giorgia Meloni anaingia kwenye mkutano wa kilele wa G7 akiwa ameimarishwa na matokeo mazuri katika uchaguzi wa Ulaya Jumapili iliyopita. Italia ndiyo mwenyeji wa mkutano huo wa  “Grande Sette”, kama kundi la G7 linavyojulikana kwa Kiitaliano. Meloni mwenyewe alisaidia kuunda maelezo mengi mwenyewe wakati wa kuandaa “mkutano wake,” kama anavyouita. Mbali na…

Read More

‘Msibebe wagombea mifukoni, tendeni haki’

Iringa. Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Iringa, Daudi Yassin amesema ikiwa viongozi wataleta mizengwe kwenye chaguzi za ndani za CCM kuelekea uchaguzi wa Serikali za mitaa ni rahisi kushindwa. Amesema badala ya kubeba wagombea mifukoni wanatakiwa kuhakikisha kuwa wanatenda haki kwa kuwachagua wanachama wanaokubalika. Yassin amesema hayo katika ziara yake ya siku moja aliyoifanya leo…

Read More

OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAWAPIGA MSASA MAWAKILI WA SERIKALI

Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali iliratibu na kuendeshamafunzo kwa Mawakiliwa Serikali.Mafunzo hayo yalilenga kuwajengea uwezo Mawakili kwenyemasuala mbalimbali yanayohusu sheria ikiwemo Uandishi washeria, mambo muhimu ya kuzingatia kwenye Mikataba naMakubaliano baina ya Nchi au Taasisi, pamoja na mambo yakuzingatia katika kuishauri Serikali kwenye nyanja ya Sheria. Mafunzo hayo yalifanyika Jijini Dodoma hivi karibuni nakuhudhuriwa…

Read More

Promota pambano la Mwakinyo afungiwa

Baraza la Michezo la Taifa (BMT) limemfungia promota Shomari Kimbau kujihusisha na shughuli za mchezo wa ngumi kwa kipindi cha miaka miwili. Mbali na Kimbau, BMT pia imeifungia Taasisi ya Ukuzaji wa Mchezo wa Ngumi iitwayo Promosheni Golden Boy Boxing yenye usajili namba 72 kutojihusisha na mchezo huo kutokana na kushindwa kufuata utaratibu wa Kamisheni…

Read More

Dk Mwinyi afanya mabadiliko ya viongozi Wizara ya Katiba

Unguja. Rais wa Zanzibar,  Dk Hussein Mwinyi amefanya mabadiliko ya wakurugenzi watatu katika Ofisi ya Rais, Katiba, Sheria, Utumishi na Utawala Bora. Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari leo Juni 12, 2024 ikiwa imesainiwa na Katibu Mkuu Kiongozi, Zena Said imemtaja Bakar Khamis Muhidin kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Rasilimali watu. Awali alikuwa Mkurugenzi wa…

Read More

USHINDI NI WAKO LEO! CHEZA KASINO USHINDE MAMILIONI

  WASHINDI 40 wanasubiriwa kutambulishwa, na kujishinidia Mamilioni na mibonasi kibao ya kasino ya mtandaoni, bado promosheni ya Expanse Tournament inaendelea huku ikitoa nafasi kwa washiriki wote kucheza. Jisajili Meridianbet kuwa bingwa wa shindano hili. MCHANGANUO WA ZAWADI.Expanse Tournament inatoa mgao wa mamilioni kwa wachezaji wa kasino ya mtandaoni, kuna bonasi za kasino, mizunguko ya…

Read More