RAIS SAMIA AFUNGUA NCHI KIMATAIFA

Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Doto Biteko amekutana na Naibu Waziri wa Nishati wa Marekani Mhe. David Turk kuzungumzia masuala mbalimbali ikiwemo uwekezaji katika Sekta ya Nishati nchini. Mkutano huo umefanyika Juni 12, 2024 jijini Dar es Salaam na kubainisha maeneo kadhaa…

Read More

Mourinho apewa mwaka Yanga PrIncess

MWANZONI mwa mwezi huu tuliripoti, ishu ya Kocha Mkuu wa Yanga Princess, Mzambia Charles Haalubono anatarajiwa kutimka kikosini hapo na kumpisha Edna Lema ‘Mourinho’. Sasa habari za uhakika ni kwamba baada ya mazungumzo ya muda mrefu hatimaye Mourinho amekubaliana na viongozi wa timu hiyo kuinoa kwa msimu ujao. Mmoja wa viongozi wa Yanga (jina tunalo)…

Read More

PROF. MAKUBI RASMI BENJAMIN MKAPA HOSPITAL

Mkurugenzi Mtendaji mpya wa Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) Prof Abel Makubi leo ameripoti rasmi Hospitali hii ya Rufaa iliyoko Makao Makuu ya nchi Dodoma. Prof Makubi anachukua nafasi hiyo kufuatia uteuzi uliofanywa Mhe Rais Samia Suluhu Hassan, tarehe 4 Juni baada ya Dkt Alphonce Chandika kumaliza muda wake. Akiongea baada ya kukabidhiwa ofisi, Prof…

Read More

Yanga yajitosa Dar Boxing Derby

Na Winfrida Mtoi, Mtanzania Digital Uongozi wa klabu ya Yanga, umevutiwa na maandalizi ya pambano ya ngumi ya Dar Boxingi Derby na kuahidi  kutoa mchango wao katika kufanikisha jambo hilo ikiwamo kununua tiketi za VIP. Hayo yamesemwa na Ofisa Habari wa klabu hiyo, Ali Kamwe wakati mabondia watakaopanda ulingoni siku hiyo ya Juni 29,2024 kwenye…

Read More

Raia wa China alipa faini Sh300,000 kukwepa kifungo

Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imemuhukumu raia wa China, Zheng Zhiyuan (47) kulipa faini ya Sh300,000 au kwenda jela miezi 36 baada ya kutiwa hatiani katika mashitaka matatu, yakiwamo ya kuishi nchini bila kibali na kuwatishia kwa kisu maofisa wa Uhamiaji. Zheng amehukumiwa adhabu hiyo leo Juni 12, 2024 na Hakimu Mkazi…

Read More

SIMAMIENI HAKI ZA BINADAMU – CP TENGA

Kamishna wa Sheria na Uendeshaji wa Magereza Tanzania CP Nicodemus Menyamsumba Tenga akizungumza wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya kuwajengea uwezo Maafisa wa Jeshi la Polisi na Magereza katka masuala ya huduma za msaada wa kisheria leo juni 12 Jijini Arusha.Msajili wa Watoa Huduma za Msaada wa Kisheria Bi. Ester Msambazi akizungumza wakati wa ufunguzi…

Read More