UDSM yaja na bajaji inayotumia maji na mafuta

Dar es Salaam. Wakati biashara ya usafirishaji ikiendelea kukua nchini, watu wanaendelea kubuni njia rahisi zitakazowawezesha kufanya shughuli zao kwa urahisi na kuwapunguzia gharama za uendeshaji. Hilo limeonekana kwa Andrew Mmbanga kutoka Ndaki ya Uhandisi na Teknolojia (CoET) ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), ambaye amebuni bajaji inayotumia maji na mafuta. Amesema kwa…

Read More

Marekani yaombwa izuie hatua ya kuushambulia mji wa Rafah – DW – 28.04.2024

Saudi Arabia ambayo ni mwenyeji wa mkutano maalum wa kimataifa unaojadili masuala ya kiuchumi  imetowa mwito wa uthabiti katika kanda ya Mashariki ya kati, huku ikitahadharisha kuhusu athari zinazoweza kusababishwa duniani na vita vinavyoendelea kati ya Israel na wanamgambo wa Hamas. Mtazamo wa Saudi Arabia umetolewa kwenye ufunguzi wa mkutano huo wa kilele unaohudhuriwa na…

Read More

“Dirisha la makadirio ya Kodi kwa mwaka 2025 lafunguliwa Wafanyabiashara Mkoa wa Tanga wakumbushwa”

Meneja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Tanga, Thomas Masese, amewakumbusha wafanyabiashara kuhusu dirisha la makadirio ya kodi kwa mwaka wa 2025, linaloanzia Januari hadi Machi 2025, likiwa na lengo la kurahisisha ulipaji kodi bila kuwekewa adhabu. Akizungumza Meneja Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Tanga amesema kuwa lengo la kukutana na…

Read More

FEDHA ZISIZOTUMIKA HADI MWISHO WA MWAKA KURUDI MFUKO MKUU WA SERIKALI

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), akijibu swali bungeni jijini Dodoma, lililoulizwa na Mbunge wa Tandahimba Mhe. Katani Ahmad Katani, aliyetaka kujua lini Serikali itarejesha fedha za miradi zilizochukuliwa na Hazina. (Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Wizara ya Fedha) ………………. Na. Josephine Majura, WF, Dodoma Serikali imesema kuwa fedha ambazo hazijatumika…

Read More

Uchaguzi serikali za mitaa, ‘muziki’ wa vyama vitatu

Dar es Salaam. Wakati kampeni za uchaguzi wa serikali za mitaa zikifikia kilele kesho, vyama vitatu vya CCM, Chadema na ACT Wazalendo vimeonyesha ushindani mkali kwenye maeneo  vilivyosimamisha wagombea. Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe akizungumza na wananchi katika stendi ya Kabwe jijini Mbeya wakati wa ufunguzi wa kampeni za uchaguzi wa serikali za mitaa ya…

Read More

CCM kuwasimamisha kazi watakaohujumu uchaguzi kura za maoni

Zanzibar. Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, Dk Mohamed Said Dimwa, amesema chama kitawasimamisha kazi na wengine kuwapeleka katika kamati za usalama na maadili watendaji na viongozi wake watakaojihusisha na vitendo vya kuhujumu mchakato wa uchaguzi wa ndani wa kura za maoni. Kura hizo za maoni zinalenga kuwapata wagombea wa nafasi za…

Read More