Wakazi wa Gairo walia ukosefu wa maji safi

Gairo. Wakazi wa Kijiji cha Ngiloli kilichopo katika Wilaya ya Gairo mkoani Morogoro wameiomba Wakala wa Maji Safi na Usafi wa Mazingira Vijijini (Ruwasa) wilayani humo kuwafikishia huduma za maji kwenye ili kuondokana na adha wanayoipata. Akizungumza na Mwananchi Digital leo Juni 12, 2024, mkazi wa kijiji cha Ngiloli, Mariam Elias amesema ukosefu wa huduma…

Read More

CCM Mbeya yatoa siku 30 ujenzi mifereji makaburi ya Isanga

Mbeya. Chama cha Mapinduzi (CCM) mkoani hapa kimetoa mwezi mmoja kwa Halmashauri ya jiji la Mbeya kujenga miundombinu ya mfereji katika makaburi ya Isanga yaliyopo Mtaa wa Mkuyuni. Hatua hiyo imetokana na malalamiko ya wananchi kutokana na miili ya watu waliozikwa kwenye makaburi hayo kufukuliwa na kuelea kwenye maji au kusombwa hadi katika makazi ya…

Read More

WAZIRI MKUU ATOA MAAGIZO KWA WATUMISHI WA UMMA

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka watumishi wa umma nchini kote wawatumikie wananchi ipasavyo na wahakikishe wanaondoa urasimu kwa kutowasumbua wananchi wanaokuja kupata huduma za kiserikali katika ofisi zao. “Epukeni tabia ya kuomba na kupokea rushwa, rushwa inaharibu maendeleo. Tusitumie maneno magumu kwa wananchi wetu maana eneo hili bado ni changamoto, tunalishughulikia au bado tupo kwenye…

Read More

ACT Wazalendo wapinga TAMISEMI kusimamia uchaguzi serikali za mitaa

Chama cha ACT Wazalendo kwa kushirikiana na Asasi za Kiraia kinatarajia kufungua kesi kuzuia hatua za maandalizi ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa zinazoendelea kuchukuliwa na Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).  Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Pia kimesema kitaenda kwenye kikao cha wadau kilichoitishwa tarehe 15 Juni 2024 Dodoma kuieleza TAMISEMI…

Read More

ZEKICK: Mpole afunguka…yule na huyu wa sasa hivi

ALIYEKUWA mshambuliaji wa Geita Gold, George Mpole amerejea hapa nchini baada ya kumaliza mkataba wake wa miaka miwili aliousaini na kikosi cha FC Lupopo cha DR Congo alichojiunga nacho Desemba mwaka 2022 baada ya kuonyesha kiwango kizuri. Mpole ambaye anakumbukwa zaidi kutokana na kuibuka mfungaji bora wa Ligi Kuu Bara msimu wa 2021-2022 baada ya…

Read More