IMF yapongezwa kwa kubuni miradi mbalimbali

Mwanajumuiya wa Chuo Cha Usimamizi wa Fedha (IFM) (Alumni) Abdulmajid Nsekela amempongeza Mkuu wa chuo hicho Profesa Josephat Lotto na timu yake kutokana na kubuni mikakati mbalimbali kwa ajili ya kuboresha elimu nchini. Nsekela ameyazungumza hayo wakati wa hafla ya chakula cha jioni ya wanafunzi waliosoma zamani katika chuo hicho ,iliofanyika usiku wa kuamkia leo…

Read More

Gamondi, Yanga mambo bado magumu

MAMBO bado baina ya kocha Miguel Gamondi na mabosi wa Yanga baada ya kushindikana kukutana juzi Jumatano ili kujadiliana juu ya mkataba mpya na sasa kocha huyo anaendelea kula zake bata visiwani Zanzibar wakati anasikilizia simu za kuitwa jijini Dar es Salaam. Gamondi amemaliza mkataba aliokuwa nao na Yanga baada ya kuiwezesha kutetea ubingwa wa…

Read More

Hatari ya wagonjwa wa kisukari kupata vidonda vya tumbo

Watu wenye kisukari ambao hawajaweza kuthibiti viwango vya sukari, wapo kwenye hatari kubwa ya kupata matatizo katika mfumo wa mmeng’enyo wa chakula, ikiwa ni pamoja na tumbo kujaa gesi na vidonda vya tumbo. Matatizo haya yanaweza kusababisha usumbufu mkubwa kwa wenye kisukari, hasa upande wa lishe sahihi na matibabu. Watu wenye kisukari mara nyingi hukumbwa…

Read More

Rais Samia ahutubia Mabalozi pamoja na Wawakilishi wa Mashirika ya Kimataifa katika Sherehe za Mwaka Mpya kwa Mabalozi (Diplomatic Sherry Party) Ikulu Jijini Dar

Β  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye Sherehe za Mwaka Mpya kwa Mabalozi (Diplomatic Sherry Party) Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 14 Januari, 2025.Β Β Β Β Β Β Mabalozi wanaowakilisha nchi zao nchini Tanzania pamoja na Wawakilishi wa Mashirika ya Kimataifa wakiwa kwenye Sherehe za Mwaka Mpya kwa Mabalozi hao (Diplomatic…

Read More