Bunge la Kongo laidhinisha serikali ya Waziri Mkuu Suminwa – DW – 12.06.2024

Wabunge waliidhinisha kwa uwingi mpango huo wa utekelezaji ambao vipaumbele vyake vimekusanywa katika nguzo sita. Nazo ni kujenga uchumi ili kuunda kazi na kulinda uwezo wa ununuzi, kulinda mamlaka ya kitaifa na usalama wa raia pamoja na mali zao, kuhakikisha upatikanaji wa huduma za msingi za kijamii, kuimarisha uwezo wa Wakongo kushiriki katika ujenzi wa nchi, kusimamia ipasavyo…

Read More

Reli ya Tazara kufumuliwa | Mwananchi

Dodoma. Naibu Waziri wa Uchukuzi, David Kihenzile amesema Serikali za Tanzania, Zambia na China ziko katika hatua za mwisho za mazungumzo ya kuifumua reli ya Tanzania na Zambia (Tazara) kwa lengo la kuiboresha. Kihenzile amesema jana Juni 11, 2024 bungeni wakati wa akijibu swali la nyongeza la Mbunge wa Mlimba, (CCM), Godwin Kunambi, aliyehoji ni…

Read More

Tume ya Madini yajipanga kukusanya Sh Trilioni 1

-Mhandisi Samamba ataka kuongeza weledi na umoja katika utendaji kazi TANGA Wakati Bajeti Kuu ya Serikali ikitarajiwa kuwasilishwa kesho, Menejimenti ya Tume ya Madini imetakiwa kufanya kazi kwa weledi, umoja na mshikamano ili kufikia lengo la Serikali la makusanyo ya shilingi Trilioni moja kutoka Sekta ya Madini kwa mwaka wa fedha 2024/2025. Hayo yamesemwa leo…

Read More

Ruto na urais wake, Gachagua Mlima Kenya, taifa njiapanda

Watu wawili, mmoja mwenye maarifa makubwa ya biashara, mwingine alibeba mtaji mkubwa, waliungana kusaka mafanikio waliyonayo hivi sasa. Wakiwa kileleni, kila mmoja anajiona ndiye nguzo kuu ya mafanikio. Mwenye mtaji anajinasibu kuwa kwa maarifa yake, angeweza kuungana na yeyote mwenye mtaji na kufikia mafanikio waliyonayo. Aliyebeba mtaji, yeye anaona bila yeye hakuna ambacho kingewezekana. Kadiri…

Read More