Walimu wa sayansi kurudishwa darasani

Tarime. Serikali inatarajia kutoa mafunzo kwa walimu zaidi ya 9,000 wa masomo ya sayansi, hisabati na Tekonolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama) kwa shule za sekondari nchini, ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuboresha elimu. Idadi hiyo inatarajiwa kufikiwa Machi mwaka huu, ikiwa ni awamu ya kwanza ya mpango huo kabla ya awamu nyingine, ili…

Read More

NGORONGORO YAZINDUA ZOEZI LA UPIGAJI KURA KUWANIA TUZO YA KIVUTIO BORA CHA UTALII BARANI AFRIKA.

 Na Mwandishi wetu, Arusha. Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) imezindua zoezi  la upigaji kura kuwania tuzo ya kivutio bora cha utalii barani Afrika kwa mwaka 2024 katika hafla iliyofanyika ukumbi wa Jengo la Ngorongoro Jijini Arusha. Akizindua kampeni hiyo ya upigaji kura kaimu kamishna wa Uhifadhi NCAA Victoria Shayo amesema zoezi hilo litachukua siku…

Read More

Guterres anakaribisha kuanza kwa usitishaji vita huko Gaza huku Umoja wa Mataifa ukiimarisha usambazaji wa chakula – Masuala ya Ulimwenguni

“Tuko tayari kuunga mkono utekelezaji huu na kuongeza utoaji wa misaada endelevu ya kibinadamu kwa Wapalestina wengi ambao wanaendelea kuteseka,” mkuu wa UN. Alisema katika chapisho la mtandao wa kijamii. Aliongeza: “Ni muhimu kwamba usitishaji huu wa mapigano uondoe vikwazo muhimu vya usalama na kisiasa katika kutoa misaada.” Kwa mujibu wa taarifa za habari, mateka…

Read More

Simba Day 2024, wazee Simba wafunguka

SIMBA Day inayofanyika kesho itakuwa ni la 16, tangu tamasha hilo lianzishwe 2009, chini ya uongozi wa Hassan Dalali ‘Field Marshal’ na Mwina Kaduguda. Katika msimu mpya wa Simba Day yenye kauli mbiu ya Ubaya Ubwela, Mwanaspoti, limefanya mahojiano na wazee na viongozi wa zamani wa klabu hiyo akiwemo Dalali na kikubwa zaidi wameupongeza uongozi…

Read More

MBUNGE KOKA KULETA MAGEUZI YA KUKUZA VIPAJI KWA WASANII

NA VICTOR MASANGU, KIBAHA Mbunge wa Jimbo la Kibaha mjini Silvestry Koka katika kuunga mkono juhudi za Rais Dkt Samia Suluhu Hassan katika kukuza na kuibua vipaji vya wasanii wa fani mbali mbali ameweka mikakati kabambe kwa ajili ya kuanzisha kliniki maalumu ambayo itaweza kuwapa fursa vijana waweze kuonyesha vipaji walivyonavyo ili waweze kutambulika zaidi…

Read More

Fadlu abeba mbadala wa Tshabalala

LICHA ya kuongeza mkataba wa kuendelea kuitumikia Namungo, beki wa kushoto Anthony Mligo yupo katika rada za Kocha wa Simba, Fadlu Davids anayedaiwa kuwaambia mabosi wa timu hiyo kuwa anahitaji huduma ya kijana huyo mwenye miaka 20, kiasi cha kumuita mazoezini amuone zaidi. Kwa mujibu wa taarifa kutoka ndani ya Simba, siku ya Alhamisi iliyopita,…

Read More

Aziz Ki, Fei Toto vita yaanza upyaa

TUZO za Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kwa msimu huu zitafanyika Agosti Mosi, jijini Dar es salaam huku vita ya nyota wa Yanga na Azam FC, Stephane Aziz Ki na Feisal Salum ‘Fei Toto’ ikianza upyaa Bara. Nyota hao ambao msimu uliopita walichuana katika vita Mfungaji Bora na Aziz KI kuibuka mbabe mwishoni kwa kufunga…

Read More