Tanesco Kagera kuwachukulia hatua vishoka, makandarasi wasio na leseni

Kagera. Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) mkoani hapa limejipanga kuwachukulia hatua kali makandarasi wadogo wasio na leseni na mafundi vishoka wanaovaa sare zenye nembo ya shirika hilo kuwatapeli pesa wananchi. Vishoka hao wamekuwa wakiwatapeli wananchi  kwa ahadi ya kuwaunganisha na huduma za umeme. Hayo yamebainishwa katika kikao kazi kilichofanyika Juni 11, 2024 baina ya Meneja…

Read More

Serikali yamaliza mgogoro wa ardhi wa muda mrefu

Dodoma. Serikali ya Tanzania imemaliza mgogoro wa muda mrefu wa ardhi kati ya Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (Tanapa), Kitulo,  Wakala wa Huduma za Misitu (TFS) na wananchi wa kata za Ilungu, Igoma na Inyala. Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Dustan Kitandula ameyasema hayo leo Juni 12, 2024 wakati akijibu swali la msingi…

Read More

Mahitaji ya umeme yamefikia asilimia 15 kwa mwaka

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko mahitaji ya umeme Tanzania yameongezeka kutoka asilimia 10 hadi 15 kwa mwaka kutokana na kuongeza kwa mahitaji, wateja na shughuli za kiuchumi. Amesema ongezeko hilo pia limetokana kuongezeka kwa vyanzo vya umeme vinavyotegemewa ambavyo ni maji yanayochangia asilimia 39, gesi asılıa inayochangia asilimia 56.1, mafuta…

Read More

BAHATI NI YAKO LEO! EXPANSE NA MERIDIANBET KUKUFURAHISHA

MERIDIANBET wanaendeleza ubabe wao, na leo nakuletea ile Promosheni pendwa ya kujichukulia Maokoto, Shindano la Expanse ambapo ukicheza michezo ya kasino ya mtandaoni kutoka EXPANSE utajiweka kwenye nafasi ya kushinda Mamilioni leo. Jisajili sasa kuwa moja ya washindi. Shindano la Expanse Meridianbet litatoa zawadi na bonasi za kasino kwa washindi 40 pekee, ambao watakuwa na…

Read More