NAIBU WAZIRI SILINDE ATOA TAMKO WENYE MADENI YA CHAI

NAIBU Waziri wa Kilimo, David Silinde ameagiza wamiliki wa viwanda mbalimbali nchini vya chai kuhakikisha wanalipa madeni ya wakulima wa chai na Bodi ya Chai Tanzania itoe ripoti serikalini namna ambavyo malipo hayo yatafanyika ifikapo Juni mwaka huu. Silinde pia amesema wizara hiyo inataka inajenga viwanda saba vipya vya chai nchini kwa lengo la kuondoa…

Read More

TotalEnergies kutoa tuzo kwa makampuni wakati wa kuadhimisha Miaka 100

TotalEnergies imeanzisha tena shindano lake la makampuni machanga ambapo inalenga kutoa tuzo kwa wajasiriamali 100 kutoka Afrika. Shindano la mwaka huu, ambalo linajumuisha nchi 32 za Afrika ambapo kampuni hiyo inafanya kazi, limepewa “umuhimu maalum” wakati kampuni hiyo inasherehekea miaka 100. Shindano hilo linayojulikana kama “Mwanzilishi wa Mwaka na TotalEnergies” inaingia mwaka wa nne sasa…

Read More

Mbeya Unity sio kinyonge! | Mwanaspoti

WAKATI Ligi Kuu ya Netiboli nchini ikitarajiwa kuanza Agosti 1 huko jijini Arusha, Mbeya Unity Queens imesema hawataenda kinyonge katika mashindano hayo, bali kupambania heshima ya Mkoa wa Mbeya kubeba ubingwa, huku ikilia na ukata. Mbeya Unity ndio msimu wake wa kwanza kushiriki ligi hiyo baada ya kupanda daraja mwaka huu na kuungana na ndugu…

Read More

Latra Morogoro yasisitiza matumizi ya sheria za usalama barabarani mwisho wa mwaka

Afisa mfawidhi wa Mamlaka ya uthibiti wa usafiri ardhini (LATRA) Mkoa wa Morogoro Andrew Mlacha amesema ajali nyingi zinazotokea barabarani zinasababishwa na makosa ya kibinadamu. Mlacha amesema hayo wakati akizungumza na Madereva wa kampuni ya Abood wakati wakipatiwa mafunzo maalum ya kukumbushwa kutii na kufuata Sheria za usalama barabarani ili kuepuka ajali zisizo za lazima….

Read More

Mauaji ya Kikatili Kanisani- 3

Njombe. Jana katika mfululizo wa simulizi ya mauaji haya ya kikatili tuliwaletea sehemu ya maelezo ya onyo ya kukiri kosa ya Katekista Daniel Mwalango maarufu kwa jina la Dani, aliyoyaandika akielezea hatua kwa hatua namna alivyotekeleza mauaji. Katika maelezo yake alisema Februari 7,2022, walikubaliana na Nickson Myamba kukutana ndani ya duka na wakiwa ndani ya…

Read More