Watano kizimbani kwa madai ya wizi wa mali ya Sh892 milioni

Dar es Salaam. Mkazi wa Mikocheni, Elizabeth Timasi (76) na wenzake wanne, wamefikishea katika Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni kujibu mashtaka matatu, likiwamo la kuvunja duka na kuiba mali yenye thamani ya Sh892 milioni.  Mbali na Timasi ambaye ni mfanyabiashara, washtakiwa wengine ni daktari Suzan Charles (52), Neema Timasi (43), mfanyabiashara, Jonathan Masanga (76) na…

Read More

Gairo yafikia asilimia 65 upatikanaji wa maji

Serikali kupitia RUWASA Wilaya ya Gairo imefanikiwa kufikisha huduma ya maji safi na salama kwa asilimia 65 Kwa wakazi wa wilaya hiyo huku mpango kufikia asilimia 90 ifikapo mwaka 2025. Meneja wa RUWASA wilaya ya Gairo Mhandisi Gilbert Isaack amesema Serikali imeendelea kutoa fedha kwa ajili ya kukabiliana na changamoto ya maji ambapo tayari mabomba…

Read More

Ukimya wa Polisi tuhuma za  RC kumlawiti mwanafunzi gumzo

Mwanza/Dar. Ukimya wa Jeshi la Polisi uliotanda kuhusu tuhuma zinazomkabili mkuu wa mkoa mmoja wa Kanda ya Ziwa, anayetuhumiwa kumlawiti mwanafunzi umegeuka gumzo mitandao ya kijamii. Tukio hilo limeibua mijadala maeneo mbalimbali, hususan mitandoni kuanzia juzi, baadhi ya wachangiaji kwenye mjadala huo wakilitaka Jeshi la Polisi kutoa tamko na kumfikisha mhusika kwenye vyombo vya sheria….

Read More

FORUMCIV KUWAJENGEA UWEZO WASANII KUKUZA VIPATO VYAO

SHIRIKA lisilo la kiserikali La Forum CIV Kushirikiana Taasisi ya Kukuza Sanaa Nafasi Art Space zimefanikiwa kuwezesha wasanii kupewa mafunzo kwa kutumia sanaa zao kuwa wana harakati ili waende kuisemea jamii inayo wazunguka kutokana na changamoto mbalimbali zinazo wakumba. Akizungumza na Wanahabari Mkurugenzi wa Nafasi arts space Lilian Hipolyte amesema ushirika huo unalenga kuwawezesha wasanii…

Read More

MZEE WA KALIUA: Simba, MO ziheshimiane

Kama kuna mtu ameleta Mapinduzi makubwa kwenye Soka letu zama hizi, basi ni Mohammed Dewji. Usajili wa watu kama Jose Luís Miquissone, Clatous Chota Chama, Meddie Kagere, John Bocco, Aishi Manula, Rally Bwalya na wengine waliifanya Simba kuwa timu tishio ukanda wa Afrika ya Mashariki.

Read More

Maadui wa Rais Samia pale anapowahudumia Watanzania

Katika saikolojia, kuna somo linaitwa “Ingratiation”. Maana yake ni mbinu za kisaikolojia ambazo mtu anaweza kuzitumia kumvuta adui upande wake. Mwanasaikolojia bingwa, Edward Jones ‘Ned’, ambaye alipata kuwa profesa wa vyuo vikuu vya Duke na Princeton, Marekani, anatajwa kama baba wa Ingratiation kutokana na kazi kubwa aliyoifanya. Ingratiation ni mbinu ya kutoa sifa za ukweli…

Read More