
WATANZANIA WAWILI WAPELEKA KITABU CHA UTENGAMANO WA AFRIKA, AFRIKA KUSINI
Wanahistoria wawili wadhiri kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) Dk Maxilian Chuhila na James Zotto katika picha ya pamoja baada ya kukipeleka kitacho chao kuhusu Utengamano wa Africa, mgogoro wa Sahara nchini Africa Kusini.Dk Maxilian Chuhila akizungumza na wanazuoni kutoka Chuo Kikuu cha Johannesburg kuhusu kitabu cha utangamano wa Afrika baada ya kukifikisha…