WIZARA YA NISHATI YASHIRIKI TAMASHA LA KIZIMKAZI ZANZIBAR

Na Mwandishi Wetu, Zanzibar WIZARA ya Nishati pamoja na Taasisi zake leo Agosti 21, 2024 zimeshiriki katika Tamasha la Kizimkazi (Kizimkazi Festival) yanayoendelea kwenye kijiji cha kizimkazi wilaya ya Kusini mkoa wa Kusini Kisiwani Zanzibar. Katika tamasha hilo la Kizimkazi Wizara na taasisi zinatoa elimu ya utekelezaji wa Sera ya Nishati ya mwaka 2015 pamoja…

Read More

Mwanza sasa kuwa na Uwanja wa Gofu

WAZIRI wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk Damas Ndumbaro amethibitisha kwamba Serikali imeanza mchakato wa kuwezesha ujenzi wa uwanja wa gofu katika jiji la Mwanza ili liendane na hadhi ya majiji mengine duniani kwani mchezo huo huvutia utalii wa michezo. Akizungumza jana  jijini hapa, Dk Ndumbaro alisema ameshafanya mazungumzo na wataalam kutoka PGA Legend Golf…

Read More

Aliyetimuliwa Yanga aipa ubingwa Zambia

ALIYEKUWA Kocha wa Yanga Princess, Charles Haalubono, amefanikiwa kuiongoza timu ya taifa ya Zambia ya wanawake chini ya miaka 20 kutwaa ubingwa wa mashindano ya COSAFA. Zambia imetwaa ubingwa huo baada ya kuichapa Msumbiji bao 1-0 katika mchezo wa mwisho uliochezwa nchini Afrika Kusini. Katika mashindano hayo, Haalubono aliiongoza Zambia kwenye mechi nne kushinda zote,…

Read More

UNDP na CRDB kuwaonyesha njia wajasiriamali wa Tanzania katika soko la Afrika

Dar es Salaam. Shirika la Umoja wa Mataifa la Maendeleo (UNDP) kwa kushirikiana na CRDB Bank Foundation wamezindua mwongozo rahisi kwa wajasiriamali wachanga, wadogo na wa kati (MSMEs), ukiwalenga kuongeza ushiriki wao katika Eneo Huru la Biashara la Afrika (AfCFTA). Mpango huo unalenga kuwawezesha MSMEs kwa kuwapatia nyenzo muhimu na maarifa yatakayowasaidia kupanua biashara zao…

Read More

Alliance v Ceasiaa vita ya ‘Top 5’ WPL

ACHANA na vita ya ubingwa wa Ligi Kuu ya Wanawake kati ya JKT Queens na Simba Queens, kuna mchuano mwingine mkali wa kuwania nafasi ya tano kati ya Alliance Girls na Ceasiaa Queens. Hadi sasa nafasi ya tatu ambayo iko Yanga Princess na nne Mashujaa Queens zimejihakikishia nafasi hizo kutokana na pointi zao haziwezi kufikiwa…

Read More

Inonga aamua kuvunja ukimya | Mwanaspoti

WAKATI mabosi wa Simba wakisisitiza kwamba beki wa kati wa timu hiyo, Henock Inonga ana mkataba hadi mwakani na kwa sasa wanasubiri kupokea ofa kutoka klabu yoyote inayomhaji, beki huyo  raia wa DR Congo ameweka bayana kwamba ‘ndo imetoka hiyo’, kwani anamaliza mkataba mwishoni mwa msimu huu. Kumekuwa na sintofahamu baina ya Inonga na Simba,…

Read More