NEMC yashusha rungu miradi isiyofanya tathmini ya mazingira

Dar es Salaam. Baraza la Taifa la Uhifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limetaka miradi yote ambayo haikufanyiwa tathmini za mazingira (EIA) kufanya hivyo. Kwa yenye vyeti imetakiwa kutoa mrejesho wa tathimini wa kila mwaka kama sheria inavyotaka. NEMC imesema hayo ikiwataka wamiliki na viongozi wa miradi ambayo haijafanyiwa EIA kufanya hivyo kwa kuwa  baraza…

Read More

NMB Yatoa Gawio la Tsh Bilioni 57.4 kwa Serikali

Benki ya NMB imetoa gawio la Tsh. Bilioni 57.4 kwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambayo ni kiashiria cha azma ya kuleta tija na faida kubwa kwa wawekezaji wao wote, ikiwemo Serikali yenye umiliki wa 31.8% katika Benki yetu. Kwa mwaka huu, hili ni Gawio kubwa zaidi kutolewa kwa Serikali ya Jamhuri ya…

Read More

Mtunisia wa Yanga asepa kimya kimya

KOCHA na daktari wa viungo wa Yanga, Mtunisia Youssef Ammar aliyekuwa akielezwa kuwa ni kipenzi cha wachezaji wengi amesepa kimyakimya. Sababu kubwa ikitajwa ni mkataba wake umemalizika na uongozi haukuwa tayari kumuongezea huku ikielezwa kwamba Kocha Miguel Gamondi analeta mtu wake. Ammar aliachwa Yanga na kocha aliyeondoka, Nabi Mohammed. Moja ya sifa za hivikaribuni kwa…

Read More

Waliopiga kelele mama kauza bandari, faida ni hii

RAIS Samia Suluhu Hassan amesema licha ya kupigiwa kelele kuwa ameuza bandari baada ya kuruhusu wawekezaji wawili kwenye bandari ya Dar es Salaam, tayari faida imeonekana kutokana na gawio lililotolewa na Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA). Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Akitoa pongezi maalumu kwa kampuni zilitoa gawio kwa Serikali leo Jumanne, Rais Samia amesema…

Read More

Makundi maalumu yapewa neno INEC ikijiandaa kwa uchaguzi

Dar es Salaam. Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imeyataka makundi maalamu, wakiwamo watu wenye ulemavu kujitokeza kujiandikisha kwenye daftari la kudumu la wapigakura, kutokana na mifumo kuboreshwa. Tume imesema wapigakura wengi wamekuwa hawajiandikishi, wakiwamo wenye ulemavu, wajawazito na wenye watoto wachanga. Hayo yameelezwa leo Jumanne Juni 11, 2024 na Mwenyekiti wa INEC, Jaji…

Read More

MO arejea na mambo Sita Simba

Saa chache baada ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Simba Salim Mhene ‘Try Again’ kujiuzulu nafasi hiyo, mwekezaji za klabu hiyo Mohammed Dewji ‘MO’ ameibuka na mambo sita huku akitangaza kurejea kwenye nafasi hiyo. Mapema leo jioni, Try Again alitangaza rasmi kujiuzulu nafasi hiyo, kufuatia changamoto zilizoikumba klabu hiyo ikianguka kwa matokeo kwa kushika nafasi…

Read More