ZIMAMOTO WAZINDUA NYUMBA ZA MAKAAZI NA MAGARI.

DODOMA. Mei 13, 2024 Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe.Mhandisi Hamad Masauni (Mb) amezindua Nyumba za Makaazi ya Askari wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji zilizopo Kikombo Jijini Dodoma. Uzinduzi huo umefanyika sambamba na uzinduzi wa Magari 12 ya kuzimamoto, yakiwemo Magari mawili ya Ngazi yenye uwezo wa kufanya maokozi katika Majengo Marefu…

Read More

Hizi hapa changamoto zinazokabili sekta ya maji, mwarobaini

Dar es Salaam. Mabadiliko ya tabianchi, upotevu, wizi kwa baadhi ya watu na gharama za utekelezaji wa miradi ya maji zimetajwa kuwa changamoto zinazoikabili sekta ya maji huku Wizara ikisisitiza umuhimu wa utunzaji wa vyanzo vya maji. Aidha, upotevu wa maji wakati wa usambazaji unawezekana ukawa wa kibishara au binafsi, bomba kupasuka, changamoto hizo zinaanikwa…

Read More

Bakwata yataka uchunguzi huru mauaji, utekaji

Geita/Dar. Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata), limeungana na wadau wengine kusisitiza uchunguzi huru dhidi ya matukio ya utekaji na mauaji ya raia. Kauli ya Bakwata inakuja wakati wadau wengine wakiwemo wa haki za binadamu, wanasiasa na viongozi wa dini wakisisitiza kufanyika kwa uchunguzi huru, ili kuwabaini wahusika wa vitendo hivyo. Msisitizo huo wa wadau,…

Read More

Kocha Al Masry: Simba inabeba ubingwa

SIMBA kila mmoja yuko kwenye kilele cha furaha baada ya timu yao kufuzu kwa mara ya kwanza nusu fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika. Lakini Kocha wa Al Masry, Anis Boujelbene ametamka kitu kizito. Amesema kwamba kwa kiwango ambacho Simba imekionyesha kwenye mechi mbili alizokutana nayo kisha akiangalia mastaa wa timu hiyo ya Msimbazi na…

Read More

Tanzania yapania ushindi gofu Afrika leo

Wacheza gofu wa timu ya taifa ya wanawake ya Tanzania wamepania kuianza vyema raundi ya kwanza ya michuano ya gofu ya Afrika inayoanza rasmi leo baada kukamilika kwa mazoezi ya siku tatu katika viwanja vya klabu ya Taghazout mjini Agadir Morocco. Timu hiyo iliyowasili mwishoni mwa juma nchini Morocco, ilishiriki katika zoezi la siku tatu…

Read More

TPA yatembeza vipigo SHIMMUTA | Mwanaspoti

Timu za Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) zinazoshiriki michezo ya SHIMMUTA inayoendelea mjini Tanga, zimekuwa moto wa kuotea mbali baada ya kutembeza vipigo mfululizo kwa wapinzani wake wakati mashindano hayo yakiingia raundi ya tatu tangu kuanza kwake. Vipigo kwa wapinzani vilianza kutolewa tangu raundi ya kwanza ya kuanza kwa michuano hiyo, hali iliyoonyesha…

Read More

BARRICK NORTH MARA YALIPA BILIONI 3.7/ ZA USHURU WA HUDUMA TARIME VIJIJINI, BILIONI 1.7/- ZA MRABAHA KWA VIJIJI VITANO

Rais na Afisa Mtendaji Mkuu wa Barrick, Dkt. Mark Bristow akikabidhi mfano wa hundi ya shilingi bilioni 3.7 kwa viongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Tarime katika ukumbi wa mikutano wa Mgodi wa Dhahabu wa North MaraRais na Afisa Mtendaji Mkuu wa Barrick, Dkt. Mark Bristow (katikati waliokaa), Mbunge wa Tarime Vijijini, Mwita Waitara (wa…

Read More

Hospitali ya Jitimai, yaelemewa wagonjwa

Unguja. Ripoti ya utendaji kazi ya miezi sita ya Hospitali ya Wilaya ya Jitimai, imeonesha ongezeko kubwa la wagonjwa wanaohudumiwa, jambo linalozidi uwezo wa hospitali hiyo, huku sababu kuu ikitajwa kuwa ni kuimarika kwa huduma zinazotolewa. Ripoti hiyo imesomwa leo Jumapili, Agosti 10, 2025 na Mganga Mkuu wa Wilaya, Dk Lwayumba Lwegasha, katika kikao cha…

Read More