Mwinyi Zahera ataka mechi 3 Namungo

KOCHA Mkuu wa Namungo, Mwinyi Zahera amesema timu yake ipo tayari kwa asilimia 80, atatumia mechi tatu za kwanza za Ligi Kuu Bara kutengeneza kikosi cha kwanza. Namungo wamecheza mechi tatu za kirafiki wakishinda mbili na kufungwa moja, walianza na Singida Black Stars walishinda mabao 2-0, walifungwa na Dodoma Jiji 3-0 na walishinda dhidi ya…

Read More

Malindi, Mafunzo zaifuata KMKM fainali

TIMU za Malindi na Mafunzo jioni ya leo  Alhamisi zimetinga nusu fainali ya Kombe la Shirikisho la Zanzibar (ZFF Cup) Kanda ya Unguja, baada ya kupata ushindi katika mechi za robo fainali dhidi ya Black Sailors na Kundemba. Malindi iliichapa  Black Sailors kwa penalti 4-1, ilihali Mafunzo waliwanyoosha maafande wenzao wa Kundemba pia kwa penalti…

Read More

MICHAEL LUCAS WERUMA: MFANYAKAZI BORA WA BARRICK BULYANHULU

Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Dkt .Samia Suluhu Hassan akimkabidhi zawadi na cheti Mfanyakazi bora wa mwaka 2025 wa Mgodi wa Barrick Bulyanhulu Michael Lucas Weruma kwenye sherehe za Mei Mosi zilizofanyika mjini SingidaMfanyakazi bora wa mwaka 2025 wa Mgodi wa Barrick Bulyanhulu Michael Lucas Weruma akionyesha cheti alichotunukiwa na TUCTA wakati wa…

Read More

ACT Wazalendo yajipanga kulitwaa Jimbo la Moshi vijijini

Moshi. Makada wawili wa Chama cha ACT – Wazalendo, wamechukua fomu za kuomba ridhaa ya chama chao kugombea ubunge jimbo la Moshi vijijini mkoani Kilimanjaro, katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba, mwaka huu. Makada hao Livin Msele na Jackson Masawe, wamechukua fomu kwa nyakati tofauti katika ofisi za chama hicho mkoa, zilizopo mtaa wa Kiusa,…

Read More

Adebayor: Tulistahili fainali FA | Mwanaspoti

MSHAMBULIAJI wa Singida Black Stars, Victorien Adebayor amesema mechi mbili walizocheza dhidi ya Simba, waliwazidi wapinzani kiuwezo licha ya kupoteza mchezo wa kwanza kwa bao 1-0 na kwamba fainali ya Kombe la Shirikisho (FA) iliwastahili kwa namna walivyofunika Manyara. Singida ilianza kuvaana na Simba kwenye Uwanja wa KMC Complex, ikiwa ni kiporo cha Ligi Kuu…

Read More

Aziz KI balaa! Aibuka na jambo lingine Yanga

SAHAU ishu ya ndoa yake na Hamisa Mobetto. Achana na kitendo cha kusamehe fungate la ndoa na kukipiga katika mechi za Ligi Kuu kama hana chochote alichofanya. Pia jaribu kupotezea umahiri alionao wa kufunga na kuasisti, ila ukweli ni kwamba kiungo mshambuliaji wa Yanga, Stephane Aziz KI ameshindikana hata kwenye ufungaji wa hat trick. Ndio!…

Read More

Serikali yawatangazia kiama waganga wa jadi

Dar es Salaam. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira na Watu wenye Ulemavu, Deogratias Ndejembi amewataka wakuu wa mikoa kufanya operesheni na kuwakamata waganga wa jadi wanaofanya shughuli hizo bila vibali. Amesema lengo ni kukomesha vitendo vya ukatili dhidi ya watu wenye ualbino, vinavyotajwa kuchochewa na ramli chonganishi zinazopigwa na waganga hao….

Read More

UNDOF ni nini? Kwa nini walinda amani wa Umoja wa Mataifa wanashika doria kwenye mpaka wa Israel na Syria – Masuala ya Ulimwenguni

Moja ya UN misheni ya muda mrefu zaidi ya kulinda amani – Kikosi cha Waangalizi wa Kutengwa kwa Umoja wa Mataifa, kinachojulikana kwa kifupi chake UNDOF – kilianza zaidi ya nusu karne iliyopita wakati mgogoro wa Mashariki ya Kati wa 1973 ulipolipuka. The Makubaliano ya Kutengana kati ya vikosi vya Israeli na Syria ilihitimishwa ambayo…

Read More