Bakita kuongoza maadhimisho Wiki ya Kiswahili

Dar es Salaam. Baraza la Kiswahili Tanzania (Bakita) linatarajiwa kuadhimisha juma la Kiswahili ambalo litaangazia fursa za maendeleo ya lugha hiyo duniani. Wanazuoni na wageni kutoka nje wanatarajiwa kueleza namna wanavyojifunza Kiswahili. Bakita limetenga siku sita kwa ajili ya maadhimisho ya siku ya Kiswahili yanayobebwa na kaulimbiu ‘Fursa za maendeleo ya kugha ya Kiswahili.’ Maadhimisho…

Read More

DKT SAMIA KUTOA ZAIDI YA BILIONI 1.6 KILA MWAKA ILI VIJANA WA KITANZANIA KUPATA MAFUNZO YA UFUNDI STADI VETA MKOA WA DODOMA.

Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma Kaimu Mkurugenzi wa Chuo Cha Ufundi Veta Kanda ya Kati Bwana Mataka Ramadhani Mataka akieleza mafanikio ya Miaka mitatu ya Dkt Samia Suluhu Hassan, amesema kuwa Raisi huyo anatoa zaidi ya Shilingi Bilioni 1.6 kila mwaka kwa Veta Mkoa wa Dodoma ili Vijana wa Kitanzania waweze kupata mafunzo ya ufundi…

Read More

Wazir Junior aizamisha Chipolopolo kwao

BAO la Straika wa Taifa Stars, Wazir Junior mapema tu dakika ya 5, limetosha kuizamisha Zambia nyumbani kwao katika mchezo wa kuwania kufuzu Kombe la Dunia 2026 uliochezwa leo Jumanne Juni 11, 2024. Mchezo huo wa Kundi E uliochezwa Uwanja wa Levy Mwanawasa uliopo Zambia, Taifa Stars ilitumia vyema shambulizi lao la kwanza dakika ya…

Read More

NMB yamkosha Samia akipokea gawio la bilioni 57.4

Benki ya NMB imetoa gawio la Sh. 57.4 bilioni kwa Serikali ambayo ni kiashiria cha azma ya kuleta tija na faida kubwa kwa wawekezaji wao wote, ikiwemo Serikali yenye umiliki wa asilimia 31.8 katika benki hiyo. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea). Gawio hilo lililotolewa na NMB ndilo gawio kubwa lilitolewa na taasisi za kibiashara ambazo Serikali…

Read More

UVCCM wataka mtandao wa X ‘ufungiwe’

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Mohamed Kawaida ameiomba Serikali kuchunguza maudhui yaliyomo katika Mtandao wa X (zamani Twitter) kwa kile alichodai kuwa yanakwenda kinyume na mila na desturi za Watanzania. Hivi karibuni mtandao huo ulitangaza kuwa kuanzia sasa umeruhusu rasmi watu kuonyesha na kuweka maudhui…

Read More

Zelensky ahimiza Ukraine isigawanywe na Urusi – DW – 11.06.2024

Akizungumza katika bunge la Ujerumani, Bundestag, Jumanne (11.06.2024) rais Zelensky amewaambia wabunge wa Ujerumani kwamba sasa wanaweza kuelewa kwa nini WaUkraine wanapambana sana dhidi ya juhud za Urusi kuwagawanya, na kuigawa Ukraine. “Mnayajua haya kutokana na uzoefu wenu wenyewe na ndio maana mnaweza kutuelewa sisi WaUkraine. Mnaweza kuelewa kwa nini tunapigana kwa nguvu nyingi dhidi…

Read More

Wanajeshi wanne wa Israel wauawa kwa mlipuko

Rafah.  Jeshi la Israel (IDF) limethibitisha vifo vya wanajeshi wanne vilivyotokana na mlipuko uliotokea Juni 10, 2024 wakati wa mapigano kati yao na Hamas, eneo la Rafah Kusini mwa Gaza. IDF imewataja wanajeshi hao kuwa ni Sajenti Eitan Karlsbrun (20), Meja Tal Pshebilski Shaulov (24), Sajenti Yair Levin (19) na Sajenti Almog Shalom (19) waliokuwa…

Read More