
WIKI YA UTUMISHI WA UMMA DODOMA,KATIBU MKUU AIPONGEZA NCC
Katibu Mkuu Ofisi ya Rais -Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Bw. Juma S. Mkomi akisoma maelezo kwenye Banda la Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC) alipotembelea banda hilo leo akiwa na viongozi wengine mbalimbali kutoka katika ofisi yake. Katibu Mkuu Ofisi ya Rais -Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Bw….