Makamu wa Rais Malawi, wengine tisa wafariki dunia ajali ya ndege

Blantyre. Rais wa Malawi, Dk Lazarus Chakwera ametangaza kupatikana ndege ya Jeshi la Malawi iliyokuwa imembeba makamu wa Rais wa nchi hiyo, Saulos Klaus Chilima (51) ikiwa imepata ajali katika msitu wa Chikangawa. “Ndege imepatikana, na nimehuzunishwa sana na ninasikitika kuwajulisha wote. Imekuwa mkasa mbaya,” amesema hayo wakati akizungumza na vyombo vya habari leo. Ndege…

Read More

Mastaa wa Euro 2008 wanaotesa kwenye ukocha

MUNICH, UJERUMANI: SIKU zinakwenda kasi sana. Euro 2008 inaonekana kama ni jana tu hapo, lakini kumbe michuano hiyo ilikuwa miaka 16 iliyopita, ambapo mastaa waliotamba uwanjani wakati huo wakiwa wachezaji kwa sasa ni makocha. Kuwa mchezaji mzuri hakuna maana kwamba utakuwa kocha mzuri, lakini sehemu kubwa ya waliopo kwenye kundi hilo ni wale ambao walikuwa…

Read More

THRDC sasa wageukia wafadhili wa ndani

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC) umeanza kuhamasisha upatikanaji fedha za ndani ya nchi kusaidia shughuli za utetezi kutokana na kuwepo kwa mabadiliko katika vipaumbele vya wafadhili kutoka nje. Inaelezwa kuwa asilimia 90 ya shughuli za utetezi wa haki za binbadamu nchini zinategemea ufadhili kutoka nje huku…

Read More

Zelensky ahudhuria mkutano wa kuijenga upya Ukraine – DW – 11.06.2024

Kiasi viongpozi, wanasiasa na maafisa 2,000 wa mashirika ya kimataifa wanahudhuria mkutano wa mjini Berlin unaowaleta pamoja watu kutoka maeneo mbalimbali ya ulimengu wanaojishughulisha na juhudi za maendeleoa na kuyejenga upya maeneo yaliyohabiriwa na vita nchini Ukraine. Mkutano huo hautarajiwi kuwa wa wafadhili unaonuia kuchangisha fedha. Akizungumza kwenye mkutano huo, kansela wa Ujerumani Olaf Scholz…

Read More

Mbunge ahoji ucheleweshaji ujenzi minara 758, Nape ajibu

Dodoma. Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema baadhi ya vifaa vya ujenzi wa minara ya mawasiliano 758 kwenye maeneo ya vijijini, vilivyochelewa kuingia nchini vimeingia, hivyo wananchi wataanza kuona minara hiyo ikijengwa.  Nape amesema hayo leo Jumanne, Juni 11, 2024 wakati akijibu swali la nyongeza la mbunge wa Kalenga (CCM),…

Read More

Ronaldinho, George Weah, Okocha Washiriki Mashindano ya Dunia ya Vilabu vya Wachezaji Wastaafu

Na Mwandishi wetu Dar es Salaam. Wachezaji mbalimbali nyota wa zamani wakiongozwa na Ronadihno Gaucho na Rais wa zamani wa Liberia, George Weah watashiriki katika mashindano ya vilabu ya Dunia Veterans Club World Championship (VCWC) yaliyopangwa kufanyika mjini, Kigali, Rwanda. Mbali ya wachezaji hao maarufu, pia wachezaji nyota mwingine duniani, Jay Jay Okocha na Andy…

Read More