Rais Samia ataja kitakachowaingiza Gen Z barabarani

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amesema kutokuwepo kwa chakula ndiko kutawafanya vijana wa kizazi cha Z maarufu Gen Z, waingie barabarani. Mkuu huyo wa nchi ametoa kauli hiyo wakati akielezea umuhimu wa Serikali kusimamia masilahi ya makundi yote katika jamii. Ameyasema hayo leo Jumamosi, Agosti 3, 2024 alipozindua bwawa la umwagiliaji la Kiwanda…

Read More

Mchezo gani wa kasino rahisi kushinda?

Kutana na mchezo wa kasino wenye sifa ya kutoa washindikila sekunde, yaani ni rahisi kushinda kuliko kumeza mate, mchongo huu unapatikana pale Meridianbet wakali wakasino ya Mtandaoni, unaambiwa ukijisajili ukaongeza saliounapewa bonasi ya ukaribisho hadi Tsh Milioni 3,000,000/= Mchezo huu unaangazia Wild West na saluni, benki na ofisi yaPOLISI ikiwa nyuma yake. Utaona kivuli cha…

Read More

Luhemeja akumbusha fursa biashara hewa ukaa

Geita. Watanzania wametakiwa kuacha kuendelea kuona mabadiliko ya tabia nchi kama changamoto badala yake waitumie kama fursa ya kiuchumi kwa kupanda miti na kuitunza ili kufanya  biashara ya hewa ukaa inayohimizwa na jumuiya ya kimataifa. Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais anaeshughulikia Muungano na Mazingira, Cyprian Luhemeja ameyasema hayo wakati wa shughuli ya upandaji…

Read More

WANAWAKE NYAMAGANA WAPATA MAJIKO YA NISHATI SAFI KUPITIA KAMPENI YA SIKU 16 DHIDI YA UKATILI WA KIJINSIA YA BARRICK NA WASHIRIKA WAKE

  Baadhi ya wanufaika katika picha ya pamoja na mgeni rasmi Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana Amina Makilagi akiongea katika hafla hiyo Makamu Mkuu wa wa chuo cha SAUT Prof. Costa Ricky Mahalu akiongea katika hafla hiyo Wanufaika wakifuatilia matukio katika hafla hiyo Wanufaika wakifuatilia matukio katika hafla hiyo   ***   Ukiwa ni mwendelezo…

Read More

Watalii sasa wanaweza kuomba viza kwa mtandao

Dodoma. Serikali kupitia Idara ya Uhamiaji imeanzisha mfumo wa maombi ya viza kwa njia ya mtandao (e-Visa) unaowawezesha watalii kuomba viza popote walipo duniani bila kulazimika kufika ubalozini, hivyo kurahisisha upatikanaji wake. Hayo yamesemwa leo Jumatano Juni 4, 2025 bungeni jijini Dodoma na Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Dunstan Kitandula alipokuwa akijibu swali la…

Read More

Majaliwa ataka TBS iende viwanda kudhibiti ubora

Dodoma. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amelielekeza Shirika la Viwango Tanzania (TBS) kuanza kudhibiti ubora wa bidhaa moja kwa moja viwandani badala ya kusubiri bidhaa kukamilika kwa ajili ya ukaguzi. Akizungumza leo, Juni 4, 2025, katika hafla ya uwekaji wa jiwe la msingi la jengo jipya la TBS jijini Dodoma, Majaliwa amesema hatua hiyo itasaidia kuzuia…

Read More

MERIDIANBET YAUNGANA NA DUNIA NZIMA KUPINGA UKATILI KWA WANAWAKE

LEO hii tarehe 25 Novemba Meridianbet inaadhimisha Siku ya Kimataifa ya Kupinga Ukatili Dhidi ya Wanawake Kupitia Kampeni yao ya “PINGA UKATILI, SIMAMA NA MWANAMKE” Wakali wa ubashiri Tanzania Meridianbet, imeungana na dunia nzima kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Kupinga Ukatili Dhidi ya Wanawake, inayofanyika kila mwaka tarehe 25 Novemba ambapo katika kuadhimisha siku hii…

Read More