
Rais Samia ataja kitakachowaingiza Gen Z barabarani
Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amesema kutokuwepo kwa chakula ndiko kutawafanya vijana wa kizazi cha Z maarufu Gen Z, waingie barabarani. Mkuu huyo wa nchi ametoa kauli hiyo wakati akielezea umuhimu wa Serikali kusimamia masilahi ya makundi yote katika jamii. Ameyasema hayo leo Jumamosi, Agosti 3, 2024 alipozindua bwawa la umwagiliaji la Kiwanda…