DC SAME AKERWA NA KUZAGAA KWA TAKA MJI MDOGO SAME.

NA WILLIUM PAUL, SAME.  MKUU wa wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro, Kasilda Mgeni ameeleza kukerwa na uchafu unaotupwa kwenye mitaro pembezoni mwa barabara za mitaa kwenye mji huo na kumtaka mtendaji wa Mji mdogo Same kujitathimini juu ya utendaji wake. Ameyasema hayo alipofanya ziara ya kushtukiza kukagua barabara saba za Mitaa zenye urefu wa Km…

Read More

UMEMWONA? Mjeshi wako Euro 2024

MUNICH, UJERUMANI: MIKIKIMIKIKI ya fainali za Euro 2024 muda uliobaki kwa michuano hiyo kuanza hata wiki haifiki, huku macho na masikio ya wapenda soka duniani yataelekezwa kwa mataifa 24 yakayoonyeshana ubavu kwenye vita hiyo ya kusaka ubingwa wa Ulaya. Kila nchi shiriki inahitajika kuwa na wachezaji 26  huku watatu kwenye kila kikosi wakiwa makipa. Utepe…

Read More

CCM yasisitiza umuhimu wa kukuza sekta binafsi na uwekezaji

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM)kimesema kwamba hakutakuwa na mabadiliko ya kweli katika kukuza uchumi wa nchi, endapo sekta binafsi hazitapewa kipaumbele katika uwekezaji nchini. Hayo yamesemwa jijini Tanga na Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi alipokuwa akizindua Kiwanda cha kuzalisha nyaya za umeme na kupeleka umeme Vijijini cha Tanga Cable kilichopo…

Read More

Samia amtumbua RC aliyedaiwa kulawiti

Rais Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali akiwemo aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Momba, Kenan Laban Kihongosi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu. Kihongosi amechukua nafasi ya Dk. Yahaya Ismaili Nawanda ambaye uteuzi wake umetenguliwa. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Utenguzi wa Dk. Nawanda umekuja siku moja baada ya taarifa kusambaa katika mitandao…

Read More

Stars, Zambia haina kujuana leo kazi kazi

STAA wa Taifa Stars, Mohammed Hussein ‘Tshabalala’ amewaambia mashabiki kwamba mechi ya leo jioni dhidi ya Zambia katika Uwanja wa Levy Mwanawasa nchini humu; “haina kujuana.” Amesisitiza kwamba anaamini hakutakuwapo na mabadiliko ya kutisha sana kwenye kikosi cha  Zambia na wao kama wachezaji wanajua pakuanzia na wameshaifanyia kazi kubwa mechi hiyo ya kuwania kufuzu Kombe…

Read More

Aziz KI avunja ukimya ishu yake Yanga, aanika usajili wa Dube

KIUNGO wa Yanga, Stephane Aziz KI, amevunja ukimya juu ya yeye kuendelea kusalia ndani ya kikosi hicho, huku akifichua jambo kubwa kumuhusu straika Mzimbabwe, Prince Dube aliyekuwa akiitumikia Azam. Aziz KI amesema msimu ujao atakuwa ndani ya Yanga kuhakikisha anawasaidia washambuliaji kuwania tuzo ya ufungaji bora. KI amebainisha kwamba, katika kuwasaidia washambuliaji hao, mmoja kati…

Read More