
UDOM KIDEDEA MASHINDANO YA TEHAMA YA HUAWEI TANZANIA.
Balozi wa China nchini Tanzania, Mhe. Chen Mingjian, akikabishi zawadi kwa mshindi wa Kike wa Chuo Kikuu cha Dodoma, Bi. Pulcheria Sumia. Kushoto ni mshindi mwingine wa Kike kutoka Taasisi ya Technolojia Dar Es Salaam (DIT), Bi. Jokha Amin. ……………. Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kimeshinda Mashindano ya Kitaifa ya TEHAMA ya HUAWEI Tanzania kwa…