Hizi ndizo tabia za Diarra, Aucho kambini Yanga

Kikosi cha Yanga jioni ya jana kilikuwa uwanjani kumalizana na Coastal Union katika mechi ya Ligi Kuu Bara, huku mastaa wa timu hiyo, Djigui Diarra, Maxi Nzengeli na Stephane Aziz KI walitarajiwa kuendeleza moto ulioifanya timu hiyo iwe tishio kwa sasa mbele ya wapinzani wanaochuana nao kuwania ubingwa. Hata hivyo, sasa unaambiwa tofauti na unavyowaona…

Read More

MAJALIWA AMPONGEZA ASKOFU PISA KWA KUCHAGULIWA KUWA RAIS WA  TEC

  Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan anasisitiza ufanyaji kazi kwa ushirikiano kati ya Serikali na Taasisi za Dini nchini ili kuendelea kujenga amani, umoja na mshikamano. Amesema kuwa Serikali inatambua mchango mkubwa unaotolewa na Taasisi hizo ambao huleta matokeo chanya kwa ustawi wa Taifa. “Tunashukuru tunapata ushauri, yapo mambo ambayo…

Read More

CCM KINAJIANDAA KIONGANIZESHENI KUSHIRIKI UCHAGUZI MKUU OKTOBA

******  Na Mwandishi Wetu, Zanzibar  Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema kinaendelea na maandalizi ya kushiriki Uchaguzi Mkuu wa Oktoba Mwaka huu kama Katiba na Sheria zinavyoelekeza kila baada ya miaka mitano kutafanyika Uchaguzi Mkuu. Pia CCM kimewataka watanzania kupuuza maneno ya baadhi ya viongozi wa vyama vinavyodai vitazuia uchaguzi mkuu mwaka huu usifanyike kwa utashi…

Read More

BoT: Mikopo ya kobe, nyoka haina leseni

Dar es Salaam. Siku chache baada ya kusambaa mitandaoni mahojiano ya mmoja wa wanawake akizungumzia uwepo wa mikopo aina ya kobe na nyoka, Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imewataka wananchi kutokopo kwa kuwa haijakatiwa leseni. Taarifa ya BoT iliyotolewa jana inaeleza kuwa, kuna taarifa katika mitandao ya kijamii zinazohusisha alama za wanyama kama vile kobe…

Read More