Jukata lachambua sheria za uchaguzi, lataja kasoro 11

Dar ea Salaam.  Jukwaa la Katiba Tanzania (Jukata), limebainisha kasoro 11 zilizopo katika sheria za uchaguzi za mwaka 2024, likieleza baadhi ya vipengele vinaibua wasiwasi kuhusu uadilifu wa mifumo ya uchaguzi. Miongoni mwa kasoro hizo ni kuendelea na makamishna wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi katika Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, kutumia watumishi wa…

Read More

Standard Chartered marks World Environment Day

    8 June 2024, Dar es Salaam – Standard Chartered (“the Bank”) cleaned up the Msasani Beach club as part of commemorating World Environment Day. The activity held on Saturday, 8 June 2024 coincided timely with the World Oceans Day. Speaking at the beach cleaning activity, Chief Executive Officer, Standard Chartered said, “When we…

Read More

Zelensky apuuza taarifa za Urusi kuteka kijiji mkoani Sumy – DW – 10.06.2024

Kupitia mtandao wa Telegram Rais Zelensky ameandikwa kwamba hadi kufia asubuhi ya leo bendera ya Urusi iliokuwa ikipepea katika kijiji cha Ryzhivka iliharibiwa vibaya na kwamba vikosi vyake viliwaondoa wakaaji katika eneo hilo linalozozaniwa na pande zote. Zelensky aliongeza kwamba ushindi unaodaiwa kutangazwa na Urusi katika kijiji hicho unatajwa kuwa ni propaganda. Hapo jana kiongozi…

Read More

WAJUMBE WA BODI YA WAKURUGENZI TPDC WAFANYA ZIARA GASCO

Wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) wamefanya ziara ya kutembelea Kituo cha kupokelea gesi asilia-Kinyerezi leo Jumatatu Juni 10, 2024 kwa lengo la kujifunza shughuli mbalimbali zinazofanywa na GASCO ikiwemo shughuli za uendeshaji na matengenezo ya miundombinu ya gesi asilia, shughuli za ujenzi wa miundombinu ya usambazaji wa…

Read More

Ecobank yajivunia  faida Sh3.5 bilioni

Dar es Salaam. Katika kipindi cha robo mwaka wa 2024, Benki ya Ecobank Tanzania imefanikiwa kupata faida ya Sh3.5 bilioni ambayo ni mara tano zaidi ya ile iliyopatikana katika kipindi kama hicho mwaka uliopita. Akizungumza na waandishi wa habari leo Jumatatu Juni 10, 2024, Mkurugenzi Mtendaji wa Ecobank Tanzania, Dk Charles Asiedu amesema matokeo ya…

Read More