MWENGE WA UHURU WAZINDUA KITUO CHA MAFUTA CHA KOIL SANGO..

Na WILLIUM PAUL, MOSHI.  KIONGOZI wa Mbio za Mwenge wa Uhuru 2025, Ismail Ali Ussi amewaataka wamekezaji kujitokeza katika kuwekeza kwenye miradi mbalimbali  ili kuongeza ajira  na kukuza uchumi wa nchi Ameyasema hayo leo, June 29 wakati wakizindua kituo cha mafuta cha  Kifaru Oil Investment  Company  LTD (Koil) kilichopo kata ya Kimochumi wilaya ya Moshi…

Read More

Iringa wachekelea huduma za madaktari bingwa 56

Iringa. Siku chache baada ya kuanza kwa kambi ya kanda yakKati ya madaktari bingwa 56 wanaojulikana kama ‘madaktari wa Samia’ katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Iringa, wananchi waliopata huduma wameelezea furaha yao. Kambi hiyo iliyoanza juzi, itadumu kwa siku tano. Wakizungumza na Mwananchi Digital leo Jumatano, Desemba 4, 2024, baadhi ya wagonjwa wamesema…

Read More

BALOZI NCHIMBI ZIARANI MKOA WA SIMIYU

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi akizungumza na viongozi wa Chama na Serikali, wakiongozwa na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mwanza, Ndugu Masanja Michael Lushinge (smart) na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Ndugu Said Mtanda, mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Mwanza. Dkt Nchimbi, alikuwa safarini…

Read More

Mtibwa Sugar yaaga rasmi Ligi Kuu Bara

MABINGWA wa zamani wa Tanzania msimu wa 1999 na 2000, Mtibwa Sugar imeshuka rasmi jana baada ya kufumuliwa mabao 3-2 na Mashujaa katika mechi iliyopigwa kwenye Uwanja wa Lake Tanganyika mjini Kigoma. Mtibwa iliyoanzishwa mwaka 1988 na kupanda Ligi Daraja la Kwanza (sasa Ligi Kuu) 1996, imeshuka kutokana na kusaliwa na pointi 21 ikiwa na…

Read More

Mambo yanayomsubiri bosi mpya NHIF

Dar es Salaam. Daktari wa Uchumi, Irene Isaka mwenye uzoefu wa kuongoza mashirika ya Serikali na binafsi ndani na nje ya nchi, amepewa jukumu la kuongoza Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF). Dk Isaka anachukua nafasi ya aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu, Bernard Konga aliyemaliza muda wake baada ya kuongoza mfumo huo tangu mwaka 2016….

Read More

JAMII YATAKIWA KUTEMBELEA MAENEO YA MALIKALE

Mhifadhi Mkuu Mambo ya Kale na Mkuu wa Kanda ya Magharibi Makumbusho na Malikale anayesimamia uhifadhi na uendelezaji maeneo ya kusini mwa Tanzania Lindi na Mtwara Revocatus Bugumba akizungumzia  siku ya Kimataifa ya Malikale ambayo hufanyika tar 18 April ya kila mwaka. Mhifadhi Mkuu Mambo ya Kale na Mkuu wa Kanda ya Magharibi Makumbusho na…

Read More

Kigogo Takukuru, wenzake walioachiwa huru warudishwa kortini

Dar es Salaam. Mahakama Kuu ya Tanzania, imeamuru kusikilizwa upya kesi iliyokuwa ikimkabili mhasibu wa zamani wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Geofrey Gugai na wenzake watatu, walioachiwa huru Novemba 2021. Katika kesi hiyo, waliyoachiwa huru na Hakimu Mkuu Mkazi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Gugai pekee alikabiliwa na mashtaka ya…

Read More

Tahadhari watafutao wenza mitandaoni | Mwananchi

Katika dunia ya sasa ambapo simu janja hazituachi mikononi mwetu, si jambo la kushangaza kuwa hata mapenzi sasa yamehamia mtandaoni. Programu na mitandao ya kutafuta wachumba imebadilisha kabisa namna watu wanavyokutana, kuwasiliana na hata kupendana. Enzi za kukutana kupitia kwa marafiki, shuleni, kazini au kwa bahati tu barabarani, sasa zinaanza kupotea. Leo unaweza tu kuingia…

Read More