Mama yake Frateri anayedaiwa kujinyonga naye afariki dunia

Moshi. Zikiwa zimepita siku 16 tangu Frateri wa Kanisa Katoliki, Rogassian Massawe (25) anayedaiwa kujinyonga hadi kufa azikwe nyumbani kwao, katika Kijiji cha Umbwe Onana, Wilaya ya Moshi, mkoani Kilimanjaro, mama yake mzazi, Levina Hugo (58) naye amefariki dunia. Frateri huyo alizikwa Mei 25, 2024 baada ya kudaiwa kujinyonga kwa kutumia mshipi Mei 20, mwaka…

Read More

Alliance One yanunua tumbaku yenye thamani ya Dola za Marekani milioni 42.3 (109.2bn/=) kwa mwezi mmoja

Na Mwandishi Wetu,Tabora. Kampuni ya Tumbaku ya Alliance One(AOTL), imewalipa wakulima wenye mikataba na kampuni hiyo jumla ya Dola za Marekani 42,309,297.87 (sawa na 109,164,913,528.81/=) kwa ajili ya kununulia zao la tumbaku. Msemaji wa Kampuni hiyo Wakili John Magoti, amesema pesa hizo zimelipwa tangu kuanza kwa msimu wa ununuzi wa zao hilo ulioanza April 29…

Read More

TETESI ZA USAJILI BONGO: Biashara Utd ni wao na Nkane

BIASHARA United ina hesabu kali za kushinda mechi mbili za mtoano ‘Play Off’ dhidi ya Tabora United ili kurejea Ligi Kuu na muda huohuo imekuwa kwenye hesabu za usajili. Wakali hao kutoka Mara wanaamini msimu ujao timu yao itacheza Ligi Kuu na tayari wameanza maandalizi ambapo Winga wa Yanga, Denis Nkane ni miongoni mwa mastaa…

Read More

Watatu wafariki Manyara, ajali ikihusisha magari matano

Hanang’. Watu watatu wamefariki dunia na wengine watano wamejeruhiwa kwenye ajali iliyohusisha magari matano na pikipiki, eneo la Mogitu wilayani Hanang’ Mkoa wa Manyara. Ajali hiyo imetokea eneo la mteremko wa Mogitu katika barabara kuu ya Singida-Babati. Eneo hilo kulikuwa kumetokea ajali nyingine iliyohusisha magari mawili ya mizigo iliyosababisha njia kufungwa na magari kushindwa kupita,…

Read More

MBETO AKUTANA NA BARAZA LA WAZEE CCM ZANZIBAR

KATIBU wa Kamati Maalum ya NEC,Idara ya Itikadi,Uenezi na Mafunzo CCM Zanzibar Khamis Mbeto Khamis,akizungumza na Baraza la Wazee CCM Zanzibar huko Ofisini kwao Kisiwandui Zanzibar. NA MWANDISHI WETU,ZANZIBAR.KATIBU wa Kamati Maalum ya NEC,Idara ya Itikadi,Uenezi na Mafunzo CCM Zanzibar Khamis Mbeto Khamis,amewasihi Wazee wa Chama Cha Mapinduzi nchini kuendelea kutoa ushauri,maoni na mapendekezo ya…

Read More

Arsenal kwanza iishinde Juve kwa Douglas Luiz

ARSENAL itatakiwa kutoa Pauni 50 milioni kwa ajili ya kuipata saini ya kiungo wa Aston Villa, Douglas Luiz, katika dirisha hili lakini kwanza itatakiwa kuishinda Juventus ambayo inahitaji huduma yake pia. Luiz amezivutia timu nyingi barani Ulaya kutokana na kiwango bora alichoonyesha kwa msimu uliopita ambapo alifunga mabao 10 na kutoa asisti 10. Villa ambayo…

Read More

EU yaahidi kuimwagisa misaada serikali katika nishati safi

Wizara ya Nishati imewatoa hofu wadau wa sekta binafsi kuwa serikali inathamini mchango wa matumizi yote ya nishati safi ya kupikia ikiwemo umeme, gesi, na nishati zingine zote ambazo ni rafiki kwa mazingira na afya. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Hayo yamesemwa leo Jumatatu na Kamishna Msaidizi wa Maendeleo ya Umeme wa wizara hiyo, Mhandisi Styden Rwebangila…

Read More

Wabunge tisa walivyombana Waziri Mwigulu

Dodoma. Wabunge tisa wamembana Waziri wa Fedha Dk Mwigulu Nchemba baada ya kumuuliza maswali bungeni kuhusu fidia kwa wanaopisha maene na malipo kwa wastaafu kikiwamo kikokotoo cha mafao ya mkupuo. Wabunge waliomuhoji maswali hayo leo Jumatatu  Juni 10, 2024 wakati wa kipindi cha maswali na majibu ni Rita Kabati, Hawa Mwaifunga, Agnes Hokororo (viti maalumu),…

Read More