Mnyika ataka utamaduni wa Chadema ulindwe

Shinyanga. Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendelea (Chadema), John Mnyika amewataka wananchi wa Shinyanga kulinda haki na utamaduni wa Chadema wa kutetea haki badala ya kukimbilia ubunge. Mnyika ametoa kauli hiyo wakati kukiwa na vuguvugu la wanachama wa Chadema wanaojivua uachama wao kwa madai ya kutokubaliana na kaulimbiu ya chama hicho ya No…

Read More

Dk Nchimbi aitaka CCM Mkuranga kumwondoa mgombea uenyekiti aliyepigiwa kura ya ‘Hapana’

Tabora. Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi ameagiza kuondolewa kwa jina la kada wa chama hicho aliyepigiwa kura nyingi za ‘Hapana’ kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, lakini ameteuliwa tena kugombea kwenye uchaguzi wa marudio unaotarajiwa kufanyika hivi karibuni. Kada huyo aligombea kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa Novemba 27, 2024…

Read More

Masheha, watendaji walaumiana uchimbaji holela mchanga, mawe

Unguja.  Wakati Wizara ya Maji, Madini na Maliasili Zanzibar ikidai masheha ndio wanawajibika kulinda mali zisizohamishika, wao wamesema baadhi ya watendaji wa wizara ndio wanaoshirikiana na watu wanaofanya uharibifu huo.  Kwa mujibu wa sheria ya mazingira ya mwaka 2015, utartibu wa kuchimba mchanga, mawe na kuvisafirisha vinatakiwa kuombewa kibali maalumu wizarani huku yakitengwa maeneo maalumu ya…

Read More

UJENZI WA DHARURA WA MADARAJA HAUTAATHIRI MIPANGO YA KUDUMU

…………………… Serikali imefafanua kwamba kazi ya ujenzi wa madaraja matano kwenye barabara kuu ya Dar es Salaam – Lindi zilikuwa zinaendelea na haitaathiriwa na juhudi za sasa za kukarabati maeneo yaliyoharibiwa na mafuriko ya mvua katika siku za karibuni.  Kauli hiyo ya Serikali imetolewa leo na Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, katika eneo la Somanga…

Read More

Chaumma kutumia chopa kunadi operesheni yake mpya mikoa 16

Dar es Salaam. Chaumma baada ya kuwapokea wanachama wapya, Katibu Mkuu wa chama hicho, Salum Mwalimu ametangaza mikakati mipya ikiwemo mwishoni mwa mwezi huu wanatarajia kuzindua operesheni ya C4C Tusonge mbele itakayozunguka mikoa yote. Operesheni hiyo inayotafsiri ‘Chaumma for Change’, itazinduliwa mkoani Mwanza Mei 30, 2025 kabla ya kuendelea katika mikoa yote nchini kwa siku…

Read More

Mapya yaibuka barabara iliyokuwa na nguzo katikati

Mwanza. Ni barabara yenye urefu wa kilomita 1.3 iliyoanza kujengwa kwa mawe Novemba, 2023 na kukamilika Aprili, 2024. Barabara ya Mchungwani iliyopo Mtaa wa Kiloleli ‘B’ wilayani Ilemela, jijini Mwanza, hivi karibuni ilikuwa gumzo mitandaoni kutokana na nguzo za umeme kuwa katikati ya barabara hivyo magari kupita kwa tabu. Hilo likipatiwa ufumbuzi na Shirika la…

Read More

Vigogo Afrika waingilia dili la Sowah Yanga

HAKUNA ubishi, straika wa Singida Black Stars, Jonathan Sowah ni kama ameshindikana kwa moto aliouonyesha kupitia mechi 11 za Ligi Kuu Bara akifunga mabao 11 na kiwango hicho kimezifanya timu mbalimbali kuanza kutunishiana misuli kuisaka saini yake kwa msimu ujao, jambo linaloongeza zaidi thamani aliyonayo. Sowah tangu ajiunge na kikosi hicho dirisha dogo la Januari…

Read More