NMB yatoa gawio la bilioni 181 kwa wanahisa wake

  WANAHISA wa Benki ya NMB wameidhinisha gawio la Sh 181 bilioni, sawa na Sh 361 kwa kila hisa moja kwa mwaka unaoishia tarehe 31 Disemba 2023. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Azimio hilo limepitishwa leo Jumatatu katika Mkutano Mkuu wa 24 wa Wanahisa wa Benki ya NMB. Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB,…

Read More

Wananchi Mbeya wahaha na mgawo wa maji

Mbeya. Wakati wakazi wa kata za Ilemi, Isanga na Sinde jijini Mbeya wakilia na ukosefu wa maji kwa siku nane sasa, Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira (Mbeya Wssa) imesema maeneo hayo yote kwa sasa yanapata maji kwa mgawo. Asilimia kubwa ya wakazi wa kata hizo sasa wanategemea maji ya visima ambayo si salama…

Read More

ASASI ZA RAIA ZATAKIWA KUTUMIA MAJUKWAA KUTOA ELIMU, KUHAMASISHA UBORESHAJI DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA

* INEC Yakamilisha mandalizi muhimu kwa ajili ya zoezi hilo Na Leandra Gabriel, Dar es Salaam KUELEKEA Zoezi la Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura nchini Asasi za kiraia zimetakiwa kutumia majukwaa yao kutoa elimu na kuhamasisha wananchi kujitokeza kujiandikisha kuwa wapiga kura, Pamoja na kuboresha taarifa zao katika Daftari hilo ili waweze…

Read More

BVR Kits 6,000 kuboresha daftari la wapiga kura

Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi imekamilisha maandalizi muhimu kwa ajili ya uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura ikiwa ni pamoja na ununuzi wa vifaa vya uandikishaji vinavyojumuisha BVR Kits 6,000. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam… (endelea). Hayo yamebainishwa leo tarehe 10 Juni 2024 jijini Dar es Salaam na Mkurugenzi wa Uchaguzi…

Read More

Jeshi la Magereza kuanza kutumia mkaa mbadala kupikia

Dar es Salaam. Jeshi la Magereza limeingia makubaliano na Shirika la Madini la Taifa (Stamico) kwa ajili ya mauziano ya nishati safi ya kupikia ambayo ni mkaa mbadala unaozalishwa na shirika hilo. Makubaliano hayo yamesainiwa mwishoni mwa wiki, jijini Dar es Salaam na Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza (CGP), Mzee Ramadhan Nyamka pamoja na…

Read More

PROF.LOKINA AFUNGUA KONGAMANO LA POLLEN2024 JIJINI DODOMA

  NAIBU Makamu Mkuu Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) Taaluma, Utafiti na Ushauri Prof. Razack Lokina ,akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kufungua  Kongamano la Mtandao wa Ekolojia ya Kisiasa POLLEN2024, linalolenga kushughulikia migogoro ya kijamii na kiikolojia katika kuchunguza njia za kufikia mustakabali wenye haki na utofauti zaidi. NAIBU Makamu Mkuu Chuo…

Read More