Hii hapa mikakati ya mwenyekiti mpya wa Tamwa

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Wanahabari Wanawake Tanzania (Tamwa), Dk Kaanaeli Kaale ameahidi kuwa katika kipindi chake cha uongozi wa miaka mitatu miongoni mwa mambo yatakayopewa kipaumbele   jitihada za kuwainua wanawake kiuchumi. Amesema kazi kubwa imeendelea kufanyika katika ukombozi wa wanawake na kuwafanya wawe na sauti, lakini hiyo haitakuwa na maana kama wataendelea…

Read More

Mido Coastal Union aukubali mziki wa Aucho

KIUNGO wa Coastal Union, Gift Abubakar amesema,  mchezaji anayemvutia katika Ligi Kuu Bara ni kiungo nyota wa Yanga, Khalid Aucho. Gift aliyejiunga na kikosi hicho msimu huu akitokea Proline FC ya kwao Uganda alisema licha ya Aucho kutoka taifa moja ni miongoni mwa viungo bora anaovutiwa na uwezo wake, huku akiweka wazi alipotua nchini aliwasiliana…

Read More

WAZIRI MKUU AMWAKILISHA RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN KATIKA MAZISHI YA SPIKA MSTAAFU NDUGAI

  Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiweka shada la maua kwenye kaburi la Spika Mstaafu na Mbunge wa Kongwa, Job Ndugai katika mazishi yaliyofanyika katika kijiji cha Msunjulile Kongwa, Mkoani Dodoma, Agosti 11, 2025. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza wakati alipomwakilisha Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye mazishi ya Spika…

Read More

Dodoma Jiji kukaa mezani na Abdi Banda

UONGOZI wa Dodoma Jiji, unaendelea na maboresho ya kikosi na umeanza mchakato wa kuongeza mikataba mipya kwa wachezaji waliomaliza, ikianza na beki wa kati wa timu hiyo, Mtanzania Abdi Banda. Nyota huyo aliyejiunga na kikosi hicho Januari 15, 2025, akitokea Baroka FC ya Afrika Kusini, alisaini mkataba wa miezi sita na sasa umemalizika rasmi, hivyo…

Read More

Kampeni ya Heforshe inashughulikia ‘ngono kwa samaki’ unyanyasaji wa jamii za malawis – maswala ya ulimwengu

Wanawake mara nyingi hunyonywa wakati wa kununua samaki kutoka kwa wavuvi au wafanyabiashara katika Ziwa Malawi. Mikopo: Benson Kunchezera/IPS na Benson Kunchezera (Lilongwe) Alhamisi, Mei 22, 2025 Huduma ya waandishi wa habari LILONGWE, Mei 22 (IPS) – Wanawake katika jamii za uvuvi katika wilaya za mwambao wa Malawi wa Nkhotakota na Mangochi mara nyingi malengo…

Read More

MAMA ALIWA NA MAMBA NAMTUMBO

Na Yeremias Ngerangera…..Namtumbo Mama Mmoja aitwaye Mwajibu ALifa (58) Mkazi wa kitongoji Cha Muungano katika Kijiji Cha Mtonya Wilayani Namtumbo Mkoani Ruvuma alikamatwa na mamba siku ya jumapili katika mto Luegu alipoenda kuchota maji ya kunywa na Kisha kutokomea Naye ndani ya maji . Diwani wa kata ya Likuyu Kassimu Gunda alisema msako wa wananchi…

Read More

Wakulima 5,000 wajisajili kwenye mfumo kupata mbolea

‎Dodoma. Jumla ya wakulima 5,156 wamejisajili kwenye mfumo wa kusajili wakulima nchini ili waweze kupata ruzuku ya mbolea kutoka Taasisi ya Kudhibiti Ubora wa Mbegu Tanzania (Tosci) kwenye maonyesho ya wakulima, wavuvi na wafugaji (Nanenane) jijini Dodoma. ‎Aidha, wakulima hao wamepata elimu ya kujua mbegu bora zilizothibitishwa na Tosci ili kuondokana na malalamiko ya kununua…

Read More

DRC yaifungia Al Jazeera kurusha matangazo nchini humo

Dar es Salaam. Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC) imekifungia kituo cha televisheni cha Al Jazeera kutokana kile ilichokisema imerusha mahojiano na kiongozi wa kundi la waasi wa M23, Bertrand Bisimwa. Taarifa iliyochapishwa na shirika la habari la DW, ikimnukuu msemaji wa serikali ya DRC, Patrick Muyaya akieleza kwamba mamlaka zimebatilisha kibali cha…

Read More

UCHAMBUZI WA MALOTO: Kwa heri Chadema ya Mbowe

Mashambulizi ya jicho kwa jicho na kuvuana nguo. Vita ya maneno na mabadilishano ya ahadi kuhusu kesho ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). Kilikuwa kipindi pevu cha mnyukano, hatimaye tamati imefikiwa na mwanzo mpya umezaliwa. Tundu Lissu ndiye Mwenyekiti wa Chadema na Freeman Mbowe, anavaa cheo kipya, mwenyekiti mstaafu. Tamthiliya, vioja na ngebe za…

Read More