
Jafo: Miti milioni 266 imepangwa
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Dk. Selemani Jafo amesema hadi kufikia Machi 2024 miti milioni 266 imepandwa katika mamlaka za Serikali za mitaa Tanzania Bara. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Dk. Jafo amesema hayo wakati akijibu maswali bungeni jijini Dodoma leo Jumatatu ambapo amebainisha kati ya hiyo, miti milioni…