Maabad aziingiza vitani Coastal, Tabora United

MSHAMBULIAJI wa Coastal Union, Maabad Maabad ameziingiza vitani Tabora United na klabu anayoichezea sasa aliyomaliza nayo mkataba, baada ya kila upande kutaka kupata huduma yake, Wagosi wakitaka kumbakisha na Tabora kumbeba ili kwenda kuboresha safu ya ushambuliji ya kikosi hicho cha Nyuki wa Tabora. Maabad anaitumikia Coastal kwa msimu wa tatu sasa katika Ligi Kuu…

Read More

Nyoni agoma kushuka daraja | Mwanaspoti

NYOTA wa kimataifa wa Tanzania anayeshikilia rekodi ya kucheza mechi nyingi akiwa na timu ya taifa, Taifa Stars, Erasto Nyoni anayeitumikia Namungo kwa sasa, amekataa kushuka na timu hiyo akisema licha ya kuwa na hali mbaya msimu huu, lakini bado wana nafasi ya kujisahihisha. Namungo iliyopanda daraja msimu wa 2019-2020 kwa sasa ipo nafasi ya…

Read More

RAIS SAMIA SULUHU AONYA VIONGOZI WAANZISHAO VIJIJI NDANI MAENEO YA HIFADHI – MWANAHARAKATI MZALENDO

Rais Samia Suluhu Hassan ametoa onyo kali kwa viongozi wanaoanzisha vijiji ndani ya maeneo ya hifadhi na kuwatetea wananchi wanaohamia kwenye maeneo hayo, akisisitiza kuwa maeneo hayo yamehifadhiwa kwa ajili ya matumizi ya baadaye. Akizungumza katika mkutano wa hadhara, Rais Samia alieleza kuwa tabia hiyo ni kinyume na sheria na inahatarisha malengo ya serikali ya…

Read More

Kriketi Tanzania yatinga nisi fainali Kombe la Dunia

TIMU ya Taifa ya Kriketi U19, juzi imetinga nusu fainali ya mashindano ya kufuzu kucheza Kombe la Dunia baada ya ushindi mzito wa mikimbio 353 dhidi ya Msumbiji kwenye Uwanja wa Dar Gymkhana. Tanzania ilimaliza hatua za makundi kwa kushinda mechi zote tatu ukiwemo wa mikimbio 162 dhidi ya Ghana Jumapili iliyopita. Ni kipigo cha…

Read More