Wasichana wanavyotumia ‘ndoa’ kutafuta uhuru na janga la talaka-2

Katika mijadala mingi, wazazi na wataalamu wa malezi wanakubaliana kuwa talaka inaweza kuwa na athari kubwa kwa watoto kwa sababu  wanapitia mabadiliko makubwa katika mazingira yao ya nyumbani yanayoweza kuwasababishia msongo wa mawazo, huzuni na wakati mwingine hata matatizo ya kiakili na kihisia. Tafiti zinaonyesha watoto wa wazazi waliotalakiana mara nyingi hukumbwa na changamoto kadhaa,…

Read More

JICHO LA MWEWE: Fei Toto na Yanga wapendane ili iweje!

NDIO mpira wenyewe ulivyo. Namaanisha namna ambavyo Yanga wanachukiana na Fei Toto, au tuseme ambavyo Fei Toto anavyochukiana na Yanga. Ndio mpira wenyewe. Wapendane ili iweje? Kwani waliachanaje? Nilimsikia shabiki mmoja wa Yanga, Ray Kigosi akilalamika namna ambavyo Fei aliweka kidole mdomoni kama ishara ya kuwanyamazisha mashabiki wa Yanga baada ya kufunga penalti yake wiki…

Read More

Watendaji serikalini watakiwa kusikiliza kero za wananchi

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Bukombe, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewaagiza watendaji wa Serikali nchini kusikiliza na kutatua kero za wananchi. Akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika Kata ya Katome, Jimbo la Bukombe mkoani Geita, Dkt. Biteko amesema ni wajibu wa watendaji wa Serikali kuhakikisha…

Read More

TANZANIA NA DRC ZASAINI MIKATABA WA PAMOJA WAUSHIRIKIANO KATIKA UENDELEZAJI NA UENDESHAJI WA BANDARI KAVU

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Jamhuriya Kidemokrasi ya Congo (DRC) zasaini Mkataba wa pamoja wa Ushirikiano katika uendelezaji na Uendeshaji wa bandari kavu ambazo zitajengwa katika maeneo maalum ya Kwala – Pwani na Katosho-Kigoma kwa Tanzania na Kasambondo – Jimbo la Kalemie Tanganyika DRC; Kasumbalesa na – Jimbo la Haut…

Read More

Baada ya ndoo, Simba yataka unbeaten WPL

LICHA ya kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Wanawake (WPL) akiwa na mechi mbili mkononi, kocha wa Simba Queens, Mussa Hassan Mgosi, amesema taji halitoshi, kwani kiu waliyonayo ni kumaliza msimu bila kupoteza mchezo wowote. Simba ilitwaa ubingwa huo juzi baada ya kuifunga Alliance Girls mabao 3-0 kwenye Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza, ikirejesha taji…

Read More