Lugalo ipo tayari kwa Gofu Moro

MAPRO ndio wataanza kucheza mashindano ya Gofu yaliyoandaliwa na klabu ya Morogoro Gymkhana, yatakayoanza Juni 14-16, huku Brigedia Jenerali Mstaafu, Michael Luongo akiweka wazi namna walivyopania mashindano hayo huku akikiri ugumu wa viwanja vya mchezo huo mkoani humo. Mapro watacheza siku moja (Juni 14), ili siku mbili zitakazofuata (15-16) iwe zamu ya wachezaji wa ridhaa…

Read More

VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA VIJISAJILI WEZESHA PORTAL

  Afisa Uwezeshaji kutoka Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi kiuchumi, Bw. Omar Bakari, akitoa elimu ya usajili wa vikundi vya huduma ndogo za fedha iliyofanyika katika moja ya darasa la Shule ya Msingi Kipeta, Wilaya ya Sumbawanga Vijijini, mkoani Rukwa. Afisa Uwezeshaji kutoka Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi, Bw. Omar Bakari, akitoa…

Read More

RT yafunguka ishu kambi ya Olimpiki

BAADA ukimya wa muda mrefu kuhusu lini timu ya taifa ya Riadha itaingia kambini kuanza maandalizi ya mashindano ya Olimpiki ambazo zitafanyika Julai jijini Paris Ufaransa hatimaye Shirikisho la Riadha Tanzania (RT) limevunja ukimya na kusema kambi hiyo itaanza rasmi mapema wiki inayoanza kesho. Tanzania itawakilishwa na wanaridha wanne pekee wanaokimbia mbio ndefu kilometa 42,…

Read More

MAJALIWA: SERIKALI ITAENDELEA KUIPA KIPAUMBELE SEKTA YA MICHEZO

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza kwenye Hafla ya Utoaji wa Tuzo za Pili (2) za Baraza la Michezo la Taifa kwa Wanamichezo Bora wa Mwaka 2024, katika ukumbi wa The Super Dome Masaki Jijini Dar es Salaam. …. WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali ya awamu ya sita imejipanga kikamilifu kuhakikisha kuwa sekta ya michezo inaendelea kuwezeshwa na kupewa…

Read More

Maxime aibukia Dodoma Jiji | Mwanaspoti

UONGOZI wa Dodoma Jiji umefikia makubaliano na aliyekuwa Kocha Mkuu wa Singida Black Stars, Mecky Maxime kwa ajili ya kukinoa kikosi hicho msimu ujao. Hatua hiyo inafuatia baada ya Maxime kuachana na Singida BS (zamani Ihefu) kumpisha kocha wa zamani wa Simba na AFC Leopards, Patrick Aussems aliyetangazwa wikiendi hii kutoka katika timu hiyo. Taarifa…

Read More

Waziri Mkuu Haiti augua ghafla, apelekwa hospitali

Haiti. Waziri Mkuu mpya wa Haiti, Garry Conille, amepelekwa hospitali baada ya kuugua ghafla, huku ikidaiwa kuwa ni shambulio la ugonjwa wa pumu.  “Baada ya wiki ya shughuli nyingi, Conille aliugua alasiri ya Juni 8, 2024 na akapelekwa hospitali kwa matibabu,” taarifa ya ofisi ya mawasiliano ya waziri mkuu imeeleza. Chanzo kutoka serikalini kikizungumza kwa…

Read More

Mauaji ya Mwalimu Tungaraza yaacha simulizi kwa familia, mke aendelea kusota mahabusu

Morogoro. Wakati Jeshi la Polisi mkoani Morogoro likiendelea na uchunguzi wa tukio la mauaji ya mwalimu mkuu wa Shule ya Msingi Signal, Christian Tungaraza, mdogo wa marehemu, Clavery Tungaraza amesema mara ya mwisho kaka yake alimtumia picha yake na kumwelekeza kwamba itumike kwenye mazishi yake atakapokuwa amekufa. Clavery amebainisha kwamba hadi sasa hafahamu mauaji hayo…

Read More