Vita DRC vyaacha kilio kwa wafanyabiashara Tanzania

Dar es Salaam. Mapigano yanayoendelea katika Jamhuri ya Kidemokrasia Congo (DRC) yametajwa kuathiri biashara kati ya Tanzania na nchi hiyo huku Chama cha Wamiliki wa Malori Tanzania (Tatoa) kikiiomba Serikali kuwapatia ulinzi waweze kushusha mizigo na kurudisha magari yaliyokwama nchini humo. Inaelezwa kuwa malori karibu 100 yakiwa na shehena za mizigo yaliyotoka hapa nchini yamekwama DRC…

Read More

Azam FC itafute sababu za kuboronga Afrika

WAKATI mashabiki wa Yanga wakimaliza mapumziko ya mwishoni mwa wiki kwa furaha, wale wa Azam na hasa wadau watakuwa wanakuna kichwa kwa huzuni baada ya timu hiyo, iliyokusanya wachezaji nyota kutoka pembe kadhaa za Afrika na barani Amerika Kusini, kushindwa tena kufurukuta michuano ya Afrika. Azam, klabu inayomilikiwa na mmoja wa matajiri wakubwa nchini na…

Read More

Neema mpya Lindi, Mtwara Serikali ikiachia Sh669 bilioni

Mtwara. Katika kuhakikisha inatekeleza ahadi ya kuifungua kiuchumi mikoa ya Lindi na Mtwara na kuboresha miundombinu ya barabara na madaraja, Serikali imetangaza kupeleka Sh669 bilioni. Fedha hizo zinakwenda kutumika kwa ajili ya ujenzi wa barabara na madaraja lengo likiwa ni kuboresha usafiri na kuifungua mikoa hiyo kiuchumi. Hayo yameelezwa na Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega…

Read More