Simulizi ya Mwalimu John aliyekosa usingizi miezi nane kwa maumivu ya kifua
Moshi. Mwalimu Deus John (30), anayefundisha Shule ya Sekondari Uru, iliyopo Wilaya ya Moshi, mkoani Kilimanjaro, amesimulia masaibu aliyopitia ya kukosa usingizi kwa miezi nane kabla ya kuondolewa uvimbe wenye uzito wa kilo mbili na maji zaidi ya lita tatu kwenye pafu lake la kushoto katika Hospitali ya KCMC. Amesema hali hiyo ilianza polepole, kwa…