Kocha Simba hakamatiki Rwanda | Mwanaspoti

ALIYEKUWA Kocha Mkuu wa Simba SC, Roberto Oliveira ‘Robertinho’, ameendelea kuonyesha umahiri wake wa kiufundi Ukanda wa Afrika Mashariki akiwa na Rayon Sports ya Rwanda. Kocha huyo amekuwa na mwanzo mzuri wa msimu, akiiongoza timu hiyo kuvuna pointi 23 katika mechi tisa za Ligi Kuu Rwanda ikishinda saba na sare mbili. Chini ya uongozi wake, Rayon…

Read More

Raia wa Comoro kutibiwa Hospitali ya Benjemani Mkapa

Dar es Salaam. Raia wa Visiwa vya Comoro sasa watatibiwa Tanzania kwa huduma za afya walizokuwa wakizifuata Bara la Ulaya na Mashariki ya mbali. Hayo yamesemwa leo Jumanne, Septemba 3, 2024 na Spika wa Bunge la Comoro, Moustadroine Abdou wakati akizungumza na vyombo vya habari baada ya kutembelea Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH), jijini Dodoma….

Read More

Zambia ndio basi tena CHAN 2024

ZAMBIA imekuwa timu ya tatu kuaga michuano ya CHAN 2024 baada ya jioni kupoteza mechi ya tatu ya Kundi A kwa kufungwa mabao 3-1 na Morocco. Ushindi huo wa Morocco umepatikana jijini Nairobi na kuifanya ifikishe pointi sita, huku Zambia ikiwa haina pointi yoyote. Zambia imezifuata Nigeria na Afrika ya Kati zilizoaga michuano kutoka Kundi…

Read More

Uzalishaji wa Kaboni kutoka AI na Crypto unaongezeka

Credit: Kodfilm/iStock by Getty Images kupitia IMF Maoni na Shafik Hebous, Nate Vernon-Lin (washington dc) Jumanne, Septemba 24, 2024 Inter Press Service WASHINGTON DC, Septemba 24 (IPS) – Je, mali za crypto na akili bandia zinafanana nini? Wote wawili wana njaa ya madaraka. Kwa sababu ya umeme unaotumiwa na vifaa vyenye nguvu nyingi “kuchimba” mali…

Read More

Kocha Tabora Utd aomba muda

KOCHA Mkuu wa Tabora United, Mkenya Francis Kimanzi amesema, anahitaji muda zaidi ili kutengeneza kikosi cha ushindani msimu huu. Kauli ya Kimanzi inajiri baada ya kikosi hicho kulazimishwa sare ya bao 1-1 jana dhidi ya KenGold ikiwa ni ya pili msimu huu katika michezo sita ya Ligi Kuu Bara aliyoiongoza, baada ya kushinda miwili na…

Read More

Morison, Yondani wampa mzuka kipa KenGold

KIKOSI cha KenGold kinaendelea kujifua kabla ya kuanza ngwe ya lala salama ya Ligi Kuu Bara, huku kipa namba moja wa timu hiyo, Castor Mhagama akisema ujio wa wachezaji wapya waliosajiliwa dirisha dogo akiwamo Bernard Morrison ‘BM’ , Kelvin Yondani na wengine umeongeza mzuka kikosini. Mhagama alisema ujio wa wachezaji hao utasaidia kuinusuru timu hiyo,…

Read More

TASAC yatoa tahadhari ya Kimbunga ,HIDAYA,

Na Mwandishi Wetu Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) limepokea taarifa kutoka Mamlaka ya Hali ya Hewa (TMA) kuhusu uwepo wa kimbunga “HIDAYA” katika Bahari ya Hindi mashariki mwa pwani ya nchi yetu. Kwa mujibu wa Taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi Mkuu wa TASAC ilisema Kimbunga “HIDAYA” kimeendelea kuimarika na kusogea kuelekea maeneo ya pwani…

Read More

JIWE LA SIKU: VAR sawa ije lakini kwenye viwanja vipi?

KWA mujibu wa Shirikisho la Kimataifa la Historia na Takwimu za Mpira wa Miguu (IFFHS), Ligi Kuu Tanzania Bara inashika namba sita kwa ubora barani Afrika nyuma ya vinara Misri, Morocco, Algeria, Tunisia na Afrika Kusini. Takwimu hizo zilitolewa Januari 2024. Ukiangalia orodha hiyo katika nne bora unazikuta nchi za Ukanda wa Kaskazini mwa Afrika…

Read More

Mukwala afichua siri Simba | Mwanaspoti

MSHAMBULIAJI mpya wa Simba, Mganda Steven Mukwala hajawapa furaha Wanamsimbazi, lakini mwenyewe amekiri sasa anauona ukubwa na thamani ya kikosi hicho baada ya kuanza kukitumikia tangu ajiunge msimu huu akitokea Asante Kotoko ya Ghana. Mukwala alisema tangu atue nchini amekutana na presha kubwa kuanzia katika benchi la ufundi hadi kwa mashabiki, jambo ambalo ni tofauti…

Read More