Mboni Masimba amrudisha jukwaani Bi Mwanahawa Ally 

Mkurugenzi wa Kampuni ya Chocolate Princess,Mboni Masimba, amemrudisha jukwaani mkongwe wa Taarabu nchini, Mwanahawa Ally aliyetangaza kustaafu kuimba mwaka jana. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, Mboni amesema,  anatarajia kufanya tamasha la mkesha wa muziki wa taarabu litakalohusisha wakali wasanii wa muziki huo nchini akiwemo Mwanahawa Ally, Agosti 28 kwenye Viwanja vya…

Read More

ORYX GAS YATANGAZA KUDHAMINI CHAMA CHA SKAUTI NCHINI KUHAMASISHA MATUMIZI YA NISHATI YA KUPIKIA KATIKA MAKAMBI YAO

Na Mwandishi Wetu,Dodoma KMAPUNI ya Oryx Gas Tanzania imesema inajivunia kutangaza rasmi udhamini wake wa kambi ya Skauti Tanzania, ikiwa ni sehemu ya dhamira yake ya kuendeleza vijana, kulinda mazingira, na kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia nchini sambamba na kutoa mitungi ya gesi 260 makubwa na madogo kwa Chama hicho. Akizungumza leo Septemba…

Read More

Serikali kukamilisha maandalizi mkakati kukabiliana na wanyama wakali

Arusha. Serikali imesema inaendelea kukamilisha maandalizi ya Mkakati wa Kitaifa wa Kukabiliana na Wanyamapori Wakali na Waharibifu (2025/26–2034/35) pamoja na kufanya tafiti za kimkakati ili kubuni mbinu mpya za kukabiliana na wanyamapori hao, hususan tembo. Aidha, imeielekeza Taasisi ya Utafiti wa Wanyamapori Tanzania (Tawiri) kuendelea kuwafunga mikanda ya mawasiliano tembo viongozi ili kubaini mienendo yao…

Read More

Fountain Gate yailaza Mbeya City kwao

MBEYA City imeendelea kuwa na matokeo ya kusuasua kwenye Ligi Kuu Bara baada ya kuchapwa bao 1-0 na Fountain Gate kwenye mechi kali ya kufunga mzunguko wa kwanza kwa timu hizo iliyopigwa leo Machi 3, 2026 kwenye Uwanja wa Sokoine, Mbeya. Mbeya City ambayo ipo chini ya kocha mzoefu, Mecky Maxime, haijafanya vizuri kwenye mechi…

Read More