BoT yaja na mfumo wa kukomesha mikopo umiza

Dodoma. Waziri wa Fedha, Dk Mwigulu Nchemba amezindua mfumo mpya wa kifedha unaolenga kushughulikia na kutokomeza changamoto zinazowakabili watumiaji wa huduma hizo ikiwamo suala la mikopo umiza na kausha damu. Mfumo huo umetajwa kuwa sehemu ya juhudi za Serikali kuhakikisha kunakuwapo na uwazi, uadilifu na ulinzi kwa wateja wa huduma za kifedha, hususan wale wanaoathirika…

Read More

Maduro ashinda Urais Venezuela kwa awamu ya tatu

Rais wa Venezuela, Nicolas Maduro ameshinda uchaguzi uliofanyika jana Jumapili hatua inayomuwezesha kuongeza muda wa utawala wake kwa muhula wa tatu wa miaka sita. Inaripoti Mitandao wa Kimataifa … (endelea). Rais wa Tume ya Uchaguzi ya CNE nchini humo, Elvis Amoroso amesema Maduro ameshinda kwa asilimia 51.2 ya kura huku asilimia 44.2 ikienda kwa mgombea…

Read More

Aliyeoa mdoli asherehekea mwaka wake 6 kwenye ndoa

Mwanamume mmoja kutoka Japan, Akihiko Kondo, anasherehekea mwaka wa sita wa ndoa yake na Mkewe wa kubuni, Hatsune Miku, ambaye ni mhusika maarufu katika Tamthilia za anime ambaye anajulikana kama Vocaloid. Vocaloid ni aina ya programu ya sauti inayosimamia uimbaji kwa kuingiza sauti za muziki katika Wahusika wa Anime, Kondo alijikuta akipenda tabia ya Miku…

Read More

Maswali matano mwisho wa Inonga Simba

MKATABA wa beki wa Simba, Henock Inonga unamalizika mwisho wa msimu huu. Tayari ameshaitumikia Simba misimu miwili na kuonyesha kiwango bora ingawa kimekuwa kikilalamikiwa na mashabiki wa siku za karibuni. Beki huyo wa zamani wa FC Renaissance na DC Motema Pembe za DR Congo amekuwa akihusishwa pia na timu mbalimbali zikiwamo za Afrika Kaskazini hasa…

Read More

MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI AFANYA ZIARA MKOANI MTWARA

Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. Hamza S. Johari amefanya ziara ya kikazi mkoani Mtwara leo Tarehe 14 Novemba 2024 yenye lengo la kukutana na wadau mbalimbali wa sheria mkoani humo. Akiwa Mkoani Mtwara, Mhe. Johari amemtembelea Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Kanali Patrick Sawala, kwa ajili ya kujitambulisha na kumueleza lengo la ziara yake ambayo…

Read More

Yacouba aivutia kasi Simba SC

TABORA United bado ina hasira za kichapo cha mabao 3-0 ilichopewa na Simba katika mechi ya duru la kwanza ambacho iliwakosa mastaa wake wa kigeni kutokana na ishu za vibali, na sasa inasubiri kwa hamu mchezo wa marudiano utakaopigwa mjini Tabora ulioahirishwa na kuelezwa ni furaha kwa timu hiyo kwani inatoa muda kwa majembe yao…

Read More