Huu hapa msimamo wa CCM kuhusu ‘No reform, No election’

Dar es Salaam. Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimetoa msimamo wake kuhusu kampeni ya No Reform, No Election (bila mabadiliko hakutakuwa na uchaguzi) ya Chadema kikisema, chama kimoja hakitaweza kuzuia uchaguzi kufanyika. Katika msisitizo wake kuhusu hilo, CCM kupitia kwa Katibu wake wa Halmashauri Kuu, Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Amos Makalla kimesema kwa kuwa uchaguzi ni…

Read More

Wizara ya Madini yahamia rasmi mji wa Serikali, yatangaza mikakati yake.

Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma WIZARA ya Madini imehamia rasmi katika ofisi zake za mji wa serikali,huku ikitangaza mikakati rasmi ya utendaji kazi wao,ili kuweza kufikia malengo waliojiwekea hususani kuwaendeleza wachimbaji wadogo. Mbali na hilo waziri wa wizara hiyo Antony Mavunde amewasisitiza watumishi kuendelea kuchapa kazi kwa bidii ili waweze kutoa huduma stahiki kwa jamii…

Read More

Kaya 7,800 kufikiwa utoaji maoni Dira ya Maendeleo

Unguja. Kaya 7,800 zikitarajiwa kutoa maoni kuhusu Dira ya Maendeleo ya mwaka 2050, mamlaka husika zimeshauriwa kuhakikisha zinafanya uchaguzi sahihi ili watakaoshiriki wasiegemee upande mmoja. Wakizungumza kwa nyakati tofauti baadhi ya wananchi Kisiwani Unguja wamesema uzoefu unaonyesha wanapokuwa na utaratibu wa kuchukua maoni walengwa wakuu husahaulika. “Huu ni utaratibu mzuri kuwaangalia wananchi lakini ni vyema…

Read More

CCM yazidi kutikisa Kilimanjaro, zamu ya Rombo leo

Rombo. Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla anaendelea na ziara yake mkoani Kilimanjaro na leo atafanya mikutano ya hadhara wilayani Rombo. Makalla alianza ziara ya siku saba katika mikoa ya Kanda ya Kaskazini kuanzia Juni 4, 2025,  alianzia mkoani Manyara alikofanya mkutano wa hadhara wilayani Babati kisha akaelekea…

Read More

WANA-DGSS WAJADILI NA KUWEKA MIKAKATI YA UFUATILIAJI WA UTEKELEZAJI WA MAONI RASIMU YA DIRA YA TAIFA 2025-2050

Washiriki wa Semina za Jinsia na Maendeleo (GDSS) leo Jumatano, Januari 22, 2025, wamejadili masuala mbalimbali yanayohusiana na rasimu ya Dira mpya ya Taifa 2025-2050 katika semina iliyofanyika katika ofisi za Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP), Mabibo, jijini Dar es Salaam. Mwanasaikolojia Sylvia Sostenes ameibua hoja kuhusu umuhimu wa masomo ya stadi za kazi katika…

Read More

MKUTANO WA VIONGOZI WA TAASISI WAFUNGWA

   Viongozi wa taasisi na mashirika ya umma wamekubaliana kuwa na jukumu la kuweka mazingira bora ya kiutendaji ili biashara ya kaboni na sekta ya mazingira kwa ujumla iweze kukua na kuleta tija nchini.   Hayo yamejiri wakati wa Mkutano wa Viongozi wa Taasisi na Mashirika ya Umma kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi na Biashara ya…

Read More

Kurasini Heat kuongeza mashine mpya

BAADA ya kurudi Ligi ya Kikapu ya Mkoa wa Dar es Salaam (BDL), mabosi wa Kurasini Heat, wamepanga kukisuka upya kikosi hicho kwa kuleta mashine za maana ili kurejesha makali katika ligi hiyo. Kurasini iliwahi kubeba ubingwa wa BDL mwaka 2020, baada ya kuifunga JKT michezo 3-1, lakini ilishuka daraja msimu wa 2021 kutokana na…

Read More