Dorothy Semu alivyozuiwa kuingia Kisutu

Kiongozi wa chama cha ACT Wazalendo, Dorothy Semu amejikuta kwenye majibizano na askari wa Jeshi la Polisi akiwa nje ya jengo la Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam. Semu alikuwa mahakamani hapo leo Alhamisi, Aprili 24, 2025 ambapo kesi mbili ya uhaini na ile ya kuchapisha taarifa za uongo mtandaoni zinazomkabili Mwenyekiti…

Read More

Faida sita Tanzania kushika kijiti WHO hizi hapa

Dar es Salaam. Miongoni mwa maswali yanayozunguka vichwa vya wengi ni kuhusu namna ambavyo Tanzania itanufaika, ikiwa Mtanzania atapata nafasi ya kuwa Mkurugenzi wa kanda ya Afrika, Shirika la Afya Duniani (WHO). Ili kukutegulia kitendawili hiki, Mwananchi imekusogezea faida sita (6) zitakazoinufaisha nchi, iwapo mgombea aliyeteuliwa na nchi (Profesa Mohammed Janabi) atafanikiwa kushinda kiti hicho….

Read More

IAA YAADHIMISHA SIKU YA WATU WENYE ULEMAVU DUNIANI

Siku ya Watu Wenye Ulemavu Duniani, ambayo huadhimishwa kila mwaka tarehe 3 Desemba, ni fursa muhimu ya kuhamasisha jamii na dunia kwa ujumla kuhusu haki, usawa, na ustawi wa watu wenye ulemavu Katika kuadhimisha siku hiyo, Chuo cha Uhasibu Arusha (IAA), kimeandaa semina na kimetoa elimu kwa wanafunzi kuhusu haki za watu wenye ulemavu na…

Read More

Mbivu mbichi rufaa ya Magoma,Yanga Sept 9

Hatma ya uhalali wa rufaa ya klabu ya Yanga, sasa itajulikana Septemba 9, mwaka huu wakati Mahakama Kuu, Masjala ya Dar es Salaam, itakapotoa uamuzi wa pingamizi dhidi ya rufaa hiyo. Rufaa hiyo imefunguliwa na Juma Ally Magoma na mwenzake Geoffrey Mwaipopo, wakipinga uamuzi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi mkoa wa Dar es Salaam, Kisutu…

Read More

Makundi haya yanaongeza ushamiri wa VVU

Dodoma. Makundi ya madereva wa masafa marefu, wachimbaji wadogo wa madini, wavuvi na vijana wenye umri wa miaka kati ya 15 hadi 24 yametajwa kuwa bado yana ongezeko la ushamiri wa Virusi vya Ukimwi (VVU) nchini Tanzania. Kwa mujibu wa matokeo ya utafiti wa viashiria vya Ukimwi mwaka 2022/23, idadi ya watu wanaoishi na VVU…

Read More

Fadlu aitega Stellenbosch, atoa ombi Simba

Zanzibar. Ikiwa imebaki siku moja kabla ya mechi baina ya Simba na Stellenbosch ya Afrika Kusini utakaochezwa katika Uwanja wa Amaan Complex, Zanzibar, Kocha wa Simba, Fadlu David amesema wamejipanga vizuri katika kuukabili mchezo huo. Akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari leo, Jumamosi, Aprili 19, 2025, Fadlu amesema timu zote ambazo zimefika nusu fainali…

Read More

Viti maalumu udiwani, sura mpya zaibuka Moshi Mjini

Moshi. Mchakato wa kura za maoni kwa nafasi ya madiwani wa viti maalumu ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Manispaa ya Moshi umekamilika, ambapo sura mpya zimeibuka huku mmoja wa waliokuwa wakishikilia nafasi hizo akipoteza nafasi kwa kushika nafasi ya nane. Uchaguzi huo umefanyika katika Ukumbi wa YMCA Moshi Mjini chini ya usimamizi wa Alhabibi…

Read More

Kilichojiri kesi ya wanaodaiwa kumuua mwanafamilia

 Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imepanga Februari 26, 2025, kuwasomea hoja za awali (PH) Sophia Mwenda (64) na mwanaye, Alphonce Magombola(36) wanaokabiliwa na kesi ya mauaji. Mwenda ambaye ni mkazi wa Mbagala anadaiwa kushirikiana na mtoto wake huyo wa kiume, kumuua Beatrice Magombola, ambaye ni binti yake wa kumzaa mwenyewe. Uamuzi huo…

Read More

Bunge lapitisha bajeti ofisi ya Waziri Mkuu

Dodoma. Bunge limepitisha bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu, taasisi zake na Mfuko wa Bunge kwa mwaka 2025/26 huku Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisema Serikali itaendelea kuhakikisha kuna hali ya usalama, amani na utulivu kipindi chote cha uchaguzi. Ofisi hizo zimepitishiwa Sh782.08 bilioni katika mwaka huo wa fedha. Hotuba hiyo ilichangiwa na wabunge 103 lakini…

Read More