Mo Dewji aibua kitendawili kipya

LICHA ya sintofahamu kinachoendelea Simba SC, Rais wa Heshima na Mwekezaji mwenza wa klabu hiyo, Mohamed ‘Mo’ Dewji ameibuka na kitendawili ambacho kinawaweka njia panda mashabiki na wanachama wa klabu hiyo. Simba imekuwa katika sintofahamu kwa kipindi cha siku tatu mfululizo, huku wajumbe wa bodi upande wa wanachama wakifichua namna wanavyopata wakati mgumu wa kuafiki…

Read More

Dk Ndumbaro: Tatizo la Simba ni Yanga na Azam FC

WAZIRI wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk Damas Ndumbaro, ameipongeza Yanga kwa mafanikio makubwa, yaliyofanywa chini ya rais wa klabu hiyo, injinia Hersi Said, huku akichomekea kwamba tatizo lililopo Simba kwa sasa sio kama timu imeporomoka, ila ni kupanga kwa viwango vya Yanga na Azam FC. Ndumbaro amesema Wanayangwa wajitahidi kumlinda injinia Hersi kwa mafanikio…

Read More

Dereva afariki dunia, watatu wajeruhiwa ajali ya lori Njombe

Njombe. Mtu mmoja ambaye ni dereva amefariki dunia na wengine watatu kujeruhiwa kufuatia ajali ya gari aina ya Fuso kutumbukia korongoni katika Kijiji cha Igumbilo, Kata ya Lupila, Wilaya ya Makete mkoani Njombe. Ajali hiyo imetokea baada ya dereva kushindwa kulimudu gari lake na hatimaye likatumbukia kwenye korongo na kusababisha kifo chake, huku watu wengine…

Read More

Yanga yashangilia upya 7-2 za Mnyama

USHINDI wa jumla ya mabao 7-2 ambao Yanga iliupata katika michezo miwili ya Dabi dhidi ya Simba msimu uliopita wa Ligi Kuu Bara  umeshangiliwa upya katika mkutano mkuu wa mwaka wa klabu hiyo kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, Dar es Salaam. Tukio hilo limetokea wakati wa hotuba ya rais wa klabu…

Read More

JUMAMOSI NI ZAMU YAKO KUFURAHIA MKWANJA NA MERIDIANBET

WIKIENDI ndiyo hii imefika jaman na wewe kama mteja wa meridianbet hauna haja ya kujiuliza utaanzaje Jumamosi yako. Suka jamvi lako hapa na ubeti mechi zako za uhakika usitoke kapa leo. Darubini yangu inaanza kumulika mechi ya Hungary ambaye atachuana dhidi ya Israel majira ya saa moja usiku. Timu zote zimetoka kupoteza mechi zao za kirafiki zilizopita,…

Read More

Hersi: Tuliambiwa tuchague fidia, ama tujenge uwanja

RAIS wa Yanga, Injinia Hersi Said amesema kuhusu mipango ya kujenga uwanja wao wa kisasa katika eneo la Jangwani, walipewa machaguo mawili — walipwe fidia na kuhama katika eneo hilo ambalo liko katika mipango ya kuboreshwa au wajenge uwanja ulio bora kabisa.  “Serikali ilitufanya tuchague mambo mawili, kuachia uwanja ili turudishiwe fidia ama kujenga uwanja…

Read More